Queen Kan unacho takiwa kujua kuwa mwanaume akiamua kukukana au kuku kataa haangalii historia kabisa sijui mambo tumetoka mbali,sijui tuna miaka minne hakuna.
Na bahati mbaya linapo kuja swala la kutumia kinga ni wanawake wachache sana wana weza wakawa na maamuzi ya kutumia au kutotumia! Maamuzi ya kutumia au kuto tumia kinga yapo kwa mwanaume.
Na katika somo ambalo pengine wanawake wengi na wasichana wamekuwa wakifeli ni hili la uwezo wa kuamua linapo kuja swala la kinga.
Queen Kan usinge andika kuwa huko chuoni yani nilikuwa nifikiri ni mdogo wangu kabisa.
Maana nina Mdogo wangu amemaliza diploma fulani majuzi tuu na mpango ulikuwa mwaka huu afanye application kwajili ya kuanza chuo, sasa niliishiwa nguvu na kusononeka mpaka leo
baada ya kupewa taarifa kuwa ana mimba,yaani kwakweli nime kosa la kusema hadi sasa na aliye niambia ni rafiki yangu na kinacho shangaza amekuwa akiniambia kuhusu kushughulikia yeye kwenda chuo na sasa ni mwezi wa pili hajaniulizia tena wala kunipigia simu kama kawaida yake na hilo ndilo limenifanya niamini kweli kanasa.
Kwakweli ina sikitisha sana maana nafikiri sijui nae kakanwa kama wewe na shule?
Aiseeee kuna mambo yana changanya sana, na mimi nimenyamaza na wala sito muuliza kabisa, kwakeli nina hasira.
Na huyu katika wadogo zangu niliona ndio anaelewa sana somu juu ya sisi wanaume kuwa huwa hatutofautiani sana lakini daaa kaniacha kwenye wakati mgumu sana tena sana.......
Najiuliza kama na yeye ana fikiria kutoa kama wewe sijui na sina mpango wa kumuuliza.
Hila
Queen Kan usitoe mimba, we waeleze wazazi lakini ujue ina kwaza na kufedhehesha sana tena sana.
Ni wanaume wachache wanaoa mwanamke walio mpa mimba nje ya ndoa.
Jipange.