Labda kuna kitu nyuma ya screen
isha I like the way you analyze things.................Shameful on what grounds?! Watu kama nyinyi ndo huwa mnawakana ndugu zenu kisa wameenda kinyume na jamii, learn to embrace your mistakes and learn from them. In btw, my parents are very happy to have the opportunity to raise their grandchild because we are all grownup and away from home so having a young child running around the house gives them joy.
Usikubal kutoa hyo mimba..kama jamaa yako hamtak Huyo mtoto aliyeko tumbon ujue hata wewe hakupend ila alikuwa anakutumia kumaliza shida zake...itunze mimba yako mtoto mmoja huwez kushndwa kumlea ndugu Yang.Mungu akupe ujasiri katika hili
dah!naogopa kusema zaidi dad angu ila kiukweli sijamuelewa!au sijui sijui niseme sijamuamini...au....SIJUI!
Habari wanaMMU,......
Nimekua nae kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitatu, nampenda na niliamini ananipenda pia.
Mwezi huu nimejigundua kuwa Nina ujauzito wake, niliopomwambia anadai nitoe kwa kisingizio kuwa mimi niko shule( niko chuo kikuu).
Nikamjibu sitaweza, akanambia sawa ila yeye hatakua anawajibika kwa chochote kwa kuwa hataki kuwa na mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa
......naumia sana nikiwaza jinsi nilivyompenda na kumuamini, na sielewi ntalea vipi huyu mtoto bila ya baba yake
Shameful on what grounds?! Watu kama nyinyi ndo huwa mnawakana ndugu zenu kisa wameenda kinyume na jamii, learn to embrace your mistakes and learn from them. In btw, my parents are very happy to have the opportunity to raise their grandchild because we are all grownup and away from home so having a young child running around the house gives them joy.
on grounds za our creator!
infact premarital sex nayenyewe ni wrong na ndio imeleta huu mkasa. the popularity of a certain practice nd ur parents being happy raising their grandchild doesnt take away the shamefulness of the situation.
if we as society we have come to glamourize and extol all that is morally wrong all in the name of freedom of choice. this is wrong. ifike wakati tuwe wakweli na tukemee mabaya even if its our relatives involved
sema tu JF where we dare to talk openly
Pole sana mdogo wangu kwa mkasa uliokupata lakini kamwe kamwe usitoe mimba. Huwezi jua Mungu amekupangia watoto wangapi maishani mwako na pia utaishi na hiyo hali maisha yako yote. Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi katika hali ngumu unayopitia.
asante.....ubarikiwe
I know unavyojisikia....hebu nikupe hii;;
Nlipata mimba nkiwa form six nlifanikiwa kufanya necta na nkafaulu kwa grade 1
Nlizaa na nikaendelea na chuo huku nikimtunza mwanang kwa hela ya mkopo na biashara ndogo nikiwa chuo
Sasa nimemaliza,namsomesha mwanang shule nzur.baba yake aliyemkataa anaona aibu akimuona mwanae..
Nadhan umejifunza kitu hapa.
sema tu JF where we dare to talk openly
asante pia kwa kuelewa hisia zangu, nmejifunza pia kupitia mkasa wako.....