Ndeke afwege
Senior Member
- May 20, 2014
- 154
- 48
am sorry to say this but hii tabia ya wasichana kukimbilia kubeba mimba sikuhizi kabla ya ndoa inanikwaza sana
kwa vile ww Mungu kakuepusha usifikir ndio ulikuwa makin sana ila hukubahatika kukutana na wakwale. Na acha hyo kauli ungekuwa single ningekutafuta kwa gharama yoyote ili nikuthibitishie kuwa huna ujanja ila hukubahatika kukutana nao