The very effective healer in this matter is TIME. She needs time to heal, to think over.
Inawezekana hajawahi kumwangalia mme wake kwa jicho la tatu....labda sasa ni wakati wa kufanya hivyo. Akishatuliza akili then anaweza kuamua kama bado anahitaji partneship ya aina hiyo....anahitaji muda kuona kama ataweza kumwamini tena huyo bwana......mostly anawahitaji sana watu wake wa karibu kupita katika mapito haya.
Kwa mtazamo wangu wanaume wanaofanya haya ni wale ambao wanahisi kwamba wao kuoa ni kama msaada mkubwa sana kwa mke....yaani ni favour yeye kuoa...
Huwezi kumtendea mabaya mshirika wako wa maisha....
Inawezekana hajawahi kumwangalia mme wake kwa jicho la tatu....labda sasa ni wakati wa kufanya hivyo. Akishatuliza akili then anaweza kuamua kama bado anahitaji partneship ya aina hiyo....anahitaji muda kuona kama ataweza kumwamini tena huyo bwana......mostly anawahitaji sana watu wake wa karibu kupita katika mapito haya.
Kwa mtazamo wangu wanaume wanaofanya haya ni wale ambao wanahisi kwamba wao kuoa ni kama msaada mkubwa sana kwa mke....yaani ni favour yeye kuoa...
Huwezi kumtendea mabaya mshirika wako wa maisha....