Imeniuma sana

Imeniuma sana

Babra, la muhimu hapa ni kumsaidia rafiki yako kwanza kupumzika na kuyapitia yote hayo yaliyotokea kwa umakini wa hali ya juu sana. Hiki ni kipindi ambacho anapaswa kuupitia uhusiano wake na mumewe. Na ninyi marafiki na ndugu zake kumsaidia kutohalalisha uamuzi wake wa kutengana na mumewe kwa haraka...hata kama mwishoe ndio utachukuliwa. Yapo mengi hapa hatuyajui japo hili la kumpiga na kupoteza kiumbe alichoshiriki kukitengeza si jambo la kuacha lipite. Mimi nashauri tu hekima itawale katika kulikabili hili. Maisha ya ndoa na familia ni zaidi ya kile kinachoonekana juu. Mpe pole sana rafiki yako na hata huyo shemeji yako...pengine anahitaji ushauri wa wataalamu
 
that will hurt him even more!! huyo dada anamuonesha mumewe kuwa alimpenda kwa dhati na si zaidi ya hapo.

nasikia uchungu sana jamani!!! ila hiyo ni adhabu tosha kwa mumewe!!! sasa Barbie huyo small house alijua jamaa ameoa kweli???

anajua vzuri sana, na ktk kumdadic inaonekana huyu mdada wapo nae muda mrefu, na kama jpili mr anamchukua mtoto madai wanaenda car wash lakini anaenda kushinda kwa huyo mwanamke, kaniambia vitu vya ajabu ajabu tu namuona zinamruka cjui....
 
ngoshwe jana nimeonana na shem wangu, alinical tuweze kukaa anipe hali halic, alikuwa analia tu na kusema hajui ni shetani gani aliempitia na kumfanyia hivyo mkewe, na alivyoondoka juzi alienda kulala kwa huyo mwanamke wake lakini asubuhi pombe zilivyomuisha kichwani na kukumbuka alichofanya ndio akatoweka anakokujua yeye, cna msaada nae lakini nilimwambia ukweli kinachoendelea na nikamshauri arudi tu nyumbani kwake mana hakuna lolote atakalofanyiwa coz mkewe kasema acfanyiwe lolote...anajuta analia kama mtoto na nilipomuambia mimba imeharibika/imetoka ndio imemchanganya zaidi.....madai yake ni kuwa ataipambania ndoa yake kufa kupona....hajadhubutu kwenda hosp lakini nyumbani kwake amerudi.....


Ok Babra, if that true, poleni sana kwa yote!.

Maoni na Ushauri

Mweleze shosti kuwa hayo ni mambo ya ndoa bana, kuna kupanda na kushika angekuwa kule Musoma kwa kina Werema, mapenzi mpaka uvunjwe mkono au uchanwe "receiption" kwa kisu kama sio kuunguzwa paja au sehemu nyeti na chuma cha moto lakini maisha yanaendelea kama kawaida na ndoa inazidi kuwa tamu kuliko!. AMENI..

Wakati naendelea kumlaumu huyo mwanaume mwenzangu kwa uamuzi wa kumrukia mangumi mkewe, kwa upande mwingine namlamu huyo mwanamke mwenzio kwa kupekenyua cmu ya mumewe, alikuwa nakitafuta moto!. Akae afikiri kosa lake na kosa la mwenzie na ni mara ngapi hayo yametokea kabla ya haya, asiwe na jazba, kama kiumbe kimetoka "hiyo ni maumivu" yake na mwenzake pia aliyefanya huo ujinga.

Hata akienda kuishi mbali gani, kama "mashine" inafanya kazi kawaida, bado atahitaji kuwa tena na mume/ Bwana/ Hawara/ kuwekwa kinyumba nk. na akumbuke kuwa maisha hayana "gurantee" kuwa yanaweza kuwa shwari akitoka katika hiyo ndoa yake ya sasa (anaweza kupata mwingine crew kuliko mshikaji wa sasa). Kipimo cha ufikiria kuachana katika ndoa ni kuangalia uziton wa kosa na tabia za kila siku za mwenzako, na pia uangalie na wewe umechangia kwa kiasi gani kuleta hayo matatizo ndani ya nyumba.

Mpe pole, ndoa ndoano!.
 
Babra, la muhimu hapa ni kumsaidia rafiki yako kwanza kupumzika na kuyapitia yote hayo yaliyotokea kwa umakini wa hali ya juu sana. Hiki ni kipindi ambacho anapaswa kuupitia uhusiano wake na mumewe. Na ninyi marafiki na ndugu zake kumsaidia kutohalalisha uamuzi wake wa kutengana na mumewe kwa haraka...hata kama mwishoe ndio utachukuliwa. Yapo mengi hapa hatuyajui japo hili la kumpiga na kupoteza kiumbe alichoshiriki kukitengeza si jambo la kuacha lipite. Mimi nashauri tu hekima itawale katika kulikabili hili. Maisha ya ndoa na familia ni zaidi ya kile kinachoonekana juu. Mpe pole sana rafiki yako na hata huyo shemeji yako...pengine anahitaji ushauri wa wataalamu


mami sie pale tulikuwa tunamckiliza yeye anachotuomba tumfanyie, hakuna anaemshauri hivi wala vile zaidi ya baba kutaka tu kwanza akae sehemu nyingine atulize mawazo, hapo baadae watakaporudiana kwa mapenzi yao ni sawa , mtu na mtu wake....hapa kwasasa tunamsaida na kumuonyesha hayupo peke yake kwa wakati huu na kumtimizia yale anayoyataka kwasasa, akitulia akiona alivuruga atarekebisha mwenyewe.
 
hawana lolote,sawa cc mwalimu wetu kipofu wao ticha wao bubu na kiziwi kabisaaaaaaaaa,maana akiamua kaamua yani hataki hata kushaurika,hizi story zinaumiza sana kuona watu wanavyojifunza ngumi kwenye miili ya wenzao!
we tena dada zao wakitendwa wao ni wakali ile mbaya Lulu!!! men are very complicated, ni ngumu kujua hata wanachotaka, love them, respect them, trust them, do watever you think kitaongeza mapenzi kwao........mwisho wa siku watakuliza!!!!!!

wanaume mnatakaga nini kwani cha ziada jamani!!!
 
anajua vzuri sana, na ktk kumdadic inaonekana huyu mdada wapo nae muda mrefu, na kama jpili mr anamchukua mtoto madai wanaenda car wash lakini anaenda kushinda kwa huyo mwanamke, kaniambia vitu vya ajabu ajabu tu namuona zinamruka cjui....

sisi wanawake nasiye aaaah!!!! kwa hiyo hapo alitaka mwenzie aachwe yeye aolewe!!!!! amekosa mwana na maji ya moto!!!

huyo shemeji yako lazima zimruke hilo jambo si mchezo!!!!!
 
My dear alws watu wanamsingizia shetani,hata kama kafanyiwa dawa si kataka mwenyewe?kama angeridhika na mkewe na kuacha macho juu angekutana na hayo wapi?tamaa zake zimemponza,wanaume wepesi sana kuanzisha nyumba ndogo kisa wanakimbia matatizo na stress za hme kwao,sijui nani kawadanganya nyumba ndogo ni malaika n hawana makosa!!!!!!!!!kwakweli inasikitisha sana dia,sasa anajuta na kulia maana anajua udhaifu wake hakuna wa kumsaidia isipo kuwa mkewe.siwezi kumsemea ur friend sijui walikotoka n ol that but kiukweli anything that hurts u its not urs,anaekupenda,kukujuali na kukudhamini hawezi kutaka ufikwe na baya loloye.Tell her there are many frnd out here wo want to see her happy and always we love her as a lovely sister n no matter wat she is still beautiful.Baibo imesema"SHIKA SANA ULICHONACHO KABLA MUOVU HAJANYANGA'NYA

Babra ... kwanza pole sana na yaliyokusibu toka jana ... nampa pole rafiki yako na naahidi kumjumuisha katika maombezi yangu ya leo.

Niseme tu kuwa nilikuwa nafutailia kisa hiki hatua kwa hatua tangu jana na nilisita kuchangia nikisubiri hatma ya janga lenyewe na kujizuia kuchangia kwa kufuata 'emotions' zangu zaidi ya uhalisia. Kiukweli jamaa amefanya makosa makubwa sana na ni tendo la haibu sana kwa wanaume hasa ukizingatia wanaume wenyewe wengi wameelimika kuhusu huo mfumo dume. Maoni yangu nahisi yatakuwa tofauti kidogo na wengine lkn naomba yaheshimiwe:

1. Ningekushauri umshauri rafiki yako achukue na afikie hatma ya maamuzi yake bila kuwa influenced na ndugu zake .... i mean mwacheni afikirie yeye mwenyewe kwa kina kwamba anachoamua ndicho na sio awe obliged kufuata emotions za ndugu zake; ninasema hivi nikiwa na kumbukumbu ya matukio kama haya ambapo ndugu huwa wanashawishi maamuzi magumu yachukuliwe lkn ndio wanakuja kuwa wa kwanza kuwasimanga na kuwacheka kwa maamuzi yao.

2. Nikichukulia pia kuwa huyo mumewe hilo ndio kosa kubwa na la kwanza kwa mkewe (kama nimekusoma vizuri) nadhani isingali kuwa busara kama atafikia uamuzi huu kwa ghafla namna hiyo ... we know devorce procedures takes time lkn binafsi nisingalishauri wafikie huko ... nashauri familia zao zikutane kwanza na kujadili hilo tatizo kama linaweza kutatulika then ni vyema na heri kuliko kufunga kabisa any room for reconciliation ... hatutakuwa tumetenda vyema kwa kweli!

3. Ningeshauri pia kama ni waumini wazuri then wawashirikishe viongozi wao wa dini .... ni vyema nafasi ya Muumba wetu ikaheshimiwa na sio tusukumwe na hisia zetu za kibinadamu!

@ Pearl ... dada najua inauma sana lkn kumshauri tu atafute mtu mwingine kwa sasa sidhani kama ni vizuri ... naamini kila mtu ameumizwa na tatizo hili lkn ni vyema busara ikatumika!

siku hizi kuna kautamaduni fulani ambapo watu huwa wanafurahia sana wanapoona ndoa zinavunjika ili ku-justify kwamba hakuna umuhimu wa ndoa ... i dont think this is true! kuna ambazo kweli haziwezekani hasa kama hazikustahili kuwa ndoa (haukuwa mpango wa Mungu) hivyo hizo zastahili kubatilishwa lkn kwa zile ambazo zaweza rekebishika then ningeshauri tujitahidi wanajamvi kushauri vizuri na kupunguza hasira na hisia. I'm sure this is gona be a very long debate .....

And He answered and said to them, “Have you not read that He who made them at the beginning ‘made them male and female,’ and said, ‘For this reason a man shall leave his father and mother and be joined to his wife, and the two shall become one flesh’? So then, they are no longer two but one flesh. Therefore what God has joined together, let not man separate.”

Kudos Babra!

MDBD
 
tumeshapoa mami, ndio ukubwa huu! unajua Pearl jana nilikuwa namwangalia shem wangu anavyolia mie nabaki nashangaa tu, ananiambia cjui huyo mwanamke wake amempa nini mpaka akamtendea mke wangu maovu hivyo, anasema hataweza kuishi bila mke wake...atapambania ndoa yake hata haamishiwe wapi.


Luv. umemwambia kuwa aache usanii? Unajua kuna cases ambazo hata kama mkewe hataki kumshtaki lakini Jamhuri inaweza kumshtaki au raia wema tu (citizens) sasa hapo nadhani baba mdogo wake mafanye mambo mkewe atakuwa shahidi

halafu aache hiyo kauli ya "KUPIGANIA NDOA YAKE" na kumsingizia shetani! Please
 
sisi wanawake nasiye aaaah!!!! kwa hiyo hapo alitaka mwenzie aachwe yeye aolewe!!!!! amekosa mwana na maji ya moto!!!

huyo shemeji yako lazima zimruke hilo jambo si mchezo!!!!!


jana alivyojua na mtoto kahamishwa ndio kabisaaa hajielewi.....
 
Pole Barbie, and thanks for the update. U are really a good friend. Big Up!
Najua kwa wakati huu ni hasira tu, atahama mji, ataenda mbali , atakaa, atatulia, hasira zitaisha, jamaa atazidi kubembeleza na wataruadiana. Why, because she seems to be a good woman (thw way they call it, marriage material).To me, tangu nianze kusoma hii story, i get it that she is so innocent and naive, and the fact that amekataa asichukuliwe hatua zozote (which i would have done myself) showsshe still care deeply for him, and there is a great chance kuwa watarudiana, i give it within a year. Anyway, let God guide her. May she forgive and FORGET AND ALLOW HER LIFE TO BE FULL OF BLESSINGS FROM GOD. aS I SAID YDAY, ONLY gOD CAN INTERVENE.
 
ooh jamani sasa huyo mwanaume atasema ni shetani alimpitia au ilikuwaje ?
Hili tukio linaumiza ubongo
 
my dia Madabwada
mimi sijamshauri atafute mtu mwingine,Thats y nikasema siwezi kumzungumzia nafsi ya huyo rafiki yake babra,coz for sure kama ni mm ningeenda kupumzika kwanza kama miezi 3 then ningemsamehe maana ni mume wangu,hakuna alie mkamilifu ktk dunia hii,tunawapenda sana but mnatukwaza sana.Its said beta ze devo you knw than the Angel you dont no."@ Pearl ... dada najua inauma sana lkn kumshauri tu atafute mtu mwingine kwa sasa sidhani kama ni vizuri ... naamini kila mtu ameumizwa na tatizo hili lkn ni vyema busara ikatumika!
 
Luv. umemwambia kuwa aache usanii? Unajua kuna cases ambazo hata kama mkewe hataki kumshtaki lakini Jamhuri inaweza kumshtaki au raia wema tu (citizens) sasa hapo nadhani baba mdogo wake mafanye mambo mkewe atakuwa shahidi

halafu aache hiyo kauli ya "KUPIGANIA NDOA YAKE" na kumsingizia shetani! Please


luv mie jana namwangalia tu anavyomwaga machozi hadharani, nabaki nashangaa tu, cmuelewi inachomliza luv....ucdhubutu hii kabisa luv, mpende/mdhamini/mjali mkeo, hivi luv mie nimeshakuwa muoga kabisa, yaani cjui nitairudiaje hali yangu ya mwanzo.....nahc kumuogopa mpaka mr.
 
Babra ... kwanza pole sana na yaliyokusibu toka jana ... nampa pole rafiki yako na naahidi kumjumuisha katika maombezi yangu ya leo.

Niseme tu kuwa nilikuwa nafutailia kisa hiki hatua kwa hatua tangu jana na nilisita kuchangia nikisubiri hatma ya janga lenyewe na kujizuia kuchangia kwa kufuata 'emotions' zangu zaidi ya uhalisia. Kiukweli jamaa amefanya makosa makubwa sana na ni tendo la haibu sana kwa wanaume hasa ukizingatia wanaume wenyewe wengi wameelimika kuhusu huo mfumo dume. Maoni yangu nahisi yatakuwa tofauti kidogo na wengine lkn naomba yaheshimiwe:

1. Ningekushauri umshauri rafiki yako achukue na afikie hatma ya maamuzi yake bila kuwa influenced na ndugu zake .... i mean mwacheni afikirie yeye mwenyewe kwa kina kwamba anachoamua ndicho na sio awe obliged kufuata emotions za ndugu zake; ninasema hivi nikiwa na kumbukumbu ya matukio kama haya ambapo ndugu huwa wanashawishi maamuzi magumu yachukuliwe lkn ndio wanakuja kuwa wa kwanza kuwasimanga na kuwacheka kwa maamuzi yao.

2. Nikichukulia pia kuwa huyo mumewe hilo ndio kosa kubwa na la kwanza kwa mkewe (kama nimekusoma vizuri) nadhani isingali kuwa busara kama atafikia uamuzi huu kwa ghafla namna hiyo ... we know devorce procedures takes time lkn binafsi nisingalishauri wafikie huko ... nashauri familia zao zikutane kwanza na kujadili hilo tatizo kama linaweza kutatulika then ni vyema na heri kuliko kufunga kabisa any room for reconciliation ... hatutakuwa tumetenda vyema kwa kweli!

3. Ningeshauri pia kama ni waumini wazuri then wawashirikishe viongozi wao wa dini .... ni vyema nafasi ya Muumba wetu ikaheshimiwa na sio tusukumwe na hisia zetu za kibinadamu!

@ Pearl ... dada najua inauma sana lkn kumshauri tu atafute mtu mwingine kwa sasa sidhani kama ni vizuri ... naamini kila mtu ameumizwa na tatizo hili lkn ni vyema busara ikatumika!

siku hizi kuna kautamaduni fulani ambapo watu huwa wanafurahia sana wanapoona ndoa zinavunjika ili ku-justify kwamba hakuna umuhimu wa ndoa ... i dont think this is true! kuna ambazo kweli haziwezekani hasa kama hazikustahili kuwa ndoa (haukuwa mpango wa Mungu) hivyo hizo zastahili kubatilishwa lkn kwa zile ambazo zaweza rekebishika then ningeshauri tujitahidi wanajamvi kushauri vizuri na kupunguza hasira na hisia. I'm sure this is gona be a very long debate .....

And He answered and said to them, “Have you not read that He who made them at the beginning ‘made them male and female,’ and said, ‘For this reason a man shall leave his father and mother and be joined to his wife, and the two shall become one flesh’? So then, they are no longer two but one flesh. Therefore what God has joined together, let not man separate.”

Kudos Babra!

MDBD


mpaka hapo ma bro, ni baba tu ndio ametoa wazo la kumuhamisha kikazi, bila kusema lolote kuhusu ndoa yenyewe, hivyo baba anataka kumnusuru tu mwanae kwa vizuri huko mbeleni wakirudiana hayo ni mambo ya mke na mume, mie na sis tunafanya yale anayotuomba kwa wakati huu tumfanyie/msaidie...hakuna anaesema watengane hata baba mwenyewe hajafikia huko kamuachia mwanae akipoa/tulia ndio atachukua maamuzi anayoyataka yeye, alichokuwa anataka baba ni kuchukua sheria lkn binti amekataa na baba kaiachia hapo.
 
huyu msukuma kapata wa kumkamata sehemu nyeti hadi kachanganyikiwa, mapenzi kwa mkewe yuyo yalikuwa yameshaisha zamani ila tu viapo vyetu hivi vya 'mpaka kifo kitutenganishe' ndio vinaleta taabu ingekuwa kwa wenzetu majuu wameshaachana kitambo, sie tunahofia eti wajomba, wazazi majirani watanielewaje nikimwacha mke/mume!!! yaani kulikoni kumpa kichapo hicho ni boira angeamua kiume tu kuwa tuachane aendelee na huyo hun wake maana inaelekea anahudumia hadi mahitaji yote ya ndani sasa wa nini kumgombea. Huyo dada amfungulie shtaka huyo mume, sheria ifuate mkondo wake, maana si maumivu tu aliyopata, bali amethubutu 'kuua' kiumbe ambacho ni damu yake mwenyewe, je huruma na wewe mwanamke itatoka wapi, next time huyo dada aget prepared kulala kwenye coffin for good!!! pole zake maskini
 
luv mie jana namwangalia tu anavyomwaga machozi hadharani, nabaki nashangaa tu, cmuelewi inachomliza luv....ucdhubutu hii kabisa luv, mpende/mdhamini/mjali mkeo, hivi luv mie nimeshakuwa muoga kabisa, yaani cjui nitairudiaje hali yangu ya mwanzo.....nahc kumuogopa mpaka mr.

usithubutu!!! inawezekana mumeo ni mmoja wa wale 'wateule'!!!! endelea tu na mapenzi yako kwa shem kama kawa uwoga wako usije ukaleta ya kuleta tena!!!!
 
my dia Madabwada
mimi sijamshauri atafute mtu mwingine,Thats y nikasema siwezi kumzungumzia nafsi ya huyo rafiki yake babra,coz for sure kama ni mm ningeenda kupumzika kwanza kama miezi 3 then ningemsamehe maana ni mume wangu,hakuna alie mkamilifu ktk dunia hii,tunawapenda sana but mnatukwaza sana.Its said beta ze devo you knw than the Angel you dont no."@ Pearl ... dada najua inauma sana lkn kumshauri tu atafute mtu mwingine kwa sasa sidhani kama ni vizuri ... naamini kila mtu ameumizwa na tatizo hili lkn ni vyema busara ikatumika!

my dear, kwa kichapo hicho kisa msg ambayo inaukweli ndani yake, huyo mume hafai, ni bora uachane nae kabisaa kuliko kupoteza viungo vyako au hata maisha kisa eti kudumisha ndoa! ndoa bila mapenzi ni sawa na chai bila sukari!! mapenzi huanza kwanza ndipo ndoa, na once mapenzi yanapoisha hapana ndoa hapo!!!!
 
my dia Madabwada
mimi sijamshauri atafute mtu mwingine,Thats y nikasema siwezi kumzungumzia nafsi ya huyo rafiki yake babra,coz for sure kama ni mm ningeenda kupumzika kwanza kama miezi 3 then ningemsamehe maana ni mume wangu,hakuna alie mkamilifu ktk dunia hii,tunawapenda sana but mnatukwaza sana.Its said beta ze devo you knw than the Angel you dont no!

nimekusoma na nimekukubali dada ... amebarikiwa mwanaume yule aliye na pearl kama mkewe!!

MDBD
 
no wala usimuogope dia,ww kaa na akili zako timamu,I mean do the rit thing at the rit time mama,si unajua its very easy to loose sm1 u love but ver difficult to get one?
luv mie jana namwangalia tu anavyomwaga machozi hadharani, nabaki nashangaa tu, cmuelewi inachomliza luv....ucdhubutu hii kabisa luv, mpende/mdhamini/mjali mkeo, hivi luv mie nimeshakuwa muoga kabisa, yaani cjui nitairudiaje hali yangu ya mwanzo.....nahc kumuogopa mpaka mr.
 
ooh jamani sasa huyo mwanaume atasema ni shetani alimpitia au ilikuwaje ?
Hili tukio linaumiza ubongo

I hate the bolded sentence!!!! mi ukinikosea pliz niombe tu radhi ukimtaja shetani, jua ugomvi huo hautaisha, ck hz watu tunafanya mambo makubwa, ya kinyama in the name of shetani! but sometimes huwa tunafanya makubwa ya kumsuprise hata huyo shetani mwenyewe!!
 
Back
Top Bottom