Imeniuma sana

Nyamayao

JF-Expert Member
Jan 22, 2009
6,966
2,350
ni frnd wangu wa kufa na kuzikana, ni yeye kila cku alikuwa ananicctiza kutoshika/jali cm ya mr akinisihi kama napenda nikae kwenye ndoa kwa amani nicjihucshe na mambo ya cm ya mr kama yeye anavyoiogopa cm ya mr wake, cjui juzi kitu kama kimemuingia wapo supermarket mr kasahau fone kwenye gari akasema ngoja niperuzi akakutana na msg ya kwanza kutoka kwa "my han' ndivyo ilivyoseviwa hivyo na msg ilkuwa inasema "my han naomba ukija upitie supermarket unichukulie vitu vya ndani vimeniishia".....mr karudi kwenye gari mke kamuuliza vizuri tu kuna mtu umem save my han, ni nani huyu mume wangu, mume hakujibu lolote kawasha gari mpaka home kufika kamkung'uta mke wake ipasavyo,, akawasha gari kaondoka bila maelezo yoyote na mpaka sasa hajulikani alipo, jana asubuhi frnd ndio ananical ananieleza yote haya, ana mimba ya miezi 4 akaniambia ameona kitu kama period hivi nikamwambia wahi hosp itakuwa ni mshtuko wa kipigo, namaliza kuongea nae housegal wake ananical ananimabia "dada" amezimia, kumbe alipigwa vibaya ameumia ndani kwa ndani sehemu za kichwa yupo KCMC amelazwa hajitambui na mimba imetoka, ndio nipo naelekea moshi kumuona.....hebu mniambei jamani tunakoelekea na hizi ndoa....nimebakia kulia tu nikiomba mungu nimkute salama....waume zutu hivi mnataka tuwafanyie lipi jema kwenu jamani, mliooa humu hebu niambieni kosa la huyu mdada kupata kipigo kikali hivi ni nini?
 
ni frnd wangu wa kufa na kuzikana, ni yeye kila cku alikuwa ananicctiza kutoshika/jali cm ya mr akinisihi kama napenda nikae kwenye ndoa kwa amani nicjihucshe na mambo ya cm ya mr kama yeye anavyoiogopa cm ya mr wake, cjui juzi kitu kama kimemuingia wapo supermarket mr kasahau fone kwenye gari akasema ngoja niperuzi akakutana na msg ya kwanza kutoka kwa "my han' ndivyo ilivyoseviwa hivyo na msg ilkuwa inasema "my han naomba ukija upitie supermarket unichukulie vitu vya ndani vimeniishia".....mr karudi kwenye gari mke kamuuliza vizuri tu kuna mtu umem save my han, ni nani huyu mume wangu, mume hakujibu lolote kawasha gari mpaka home kufika kamkung'uta mke wake ipasavyo,, akawasha gari kaondoka bila maelezo yoyote na mpaka sasa hajulikani alipo, jana asubuhi frnd ndio ananical ananieleza yote haya, ana mimba ya miezi 4 akaniambia ameona kitu kama period hivi nikamwambia wahi hosp itakuwa ni mshtuko wa kipigo, namaliza kuongea nae housegal wake ananical ananimabia "dada" amezimia, kumbe alipigwa vibaya ameumia ndani kwa ndani sehemu za kichwa yupo KCMC amelazwa hajitambui na mimba imetoka, ndio nipo naelekea moshi kumuona.....hebu mniambei jamani tunakoelekea na hizi ndoa....nimebakia kulia tu nikiomba mungu nimkute salama....waume zutu hivi mnataka tuwafanyie lipi jema kwenu jamani, mliooa humu hebu niambieni kosa la huyu mdada kupata kipigo kikali hivi ni nini?
....WANAUME WASHAMBA WASHAMBA NDIVYO WALIVYO!....
hana sababu ya kumpiga.
atakua ni mkikuyu huyo au mkurya au mkerewe
 
Aaaah hii mikasa ya siku hizi jamani inakosesha hata amani ..na haya mambo ya simu nyie acheni mungu amsaidie apone na aanze maisha yake vizuri kama wata Reconcile
na mzee tushukuru .namshukuru sana Kaizer alinipa ushauri one day yes kuhusu hivi visimu thanks Binamu
 
Pole Babra, na kwa rafikiyo pia, sasa sijui akitoka aliko anakuja kuomba msamaha?
 
Aaaah hii mikasa ya siku hizi jamani inakosesha hata amani ..na haya mambo ya simu nyie acheni mungu amsaidie apone na aanze maisha yake vizuri kama wata Reconcile
na mzee tushukuru .namshukuru sana Kaizer alinipa ushauri one day yes kuhusu hivi visimu thanks Binamu


huwezi amini ni m2 aliekuwa ananionya/nikanya kila cku kuhusu kujihusisha na fone ya mr, yeye hiyo juzi cjui ni shetani gani alimuingia akajiperuzia, nikikuambia mr katoweka mpaka sasa, kazini haupo cjui yupo kona gani, kwao wamezaliwa wawili tu na sis wake anaishi mwanza ndio imebidi tu nimwambie ninavyoambiwa hali ya mgonjwa huko ni mbaya so fanya juu chini uje, sasa hivi anauguzwa na mama babra na mie ndio nipo njiani kuelekea huko.....
 
Not all men are Dogs,but alot are bull dogs,real boring,sijui nikae hivi hivi tu?
ni frnd wangu wa kufa na kuzikana, ni yeye kila cku alikuwa ananicctiza kutoshika/jali cm ya mr akinisihi kama napenda nikae kwenye ndoa kwa amani nicjihucshe na mambo ya cm ya mr kama yeye anavyoiogopa cm ya mr wake, cjui juzi kitu kama kimemuingia wapo supermarket mr kasahau fone kwenye gari akasema ngoja niperuzi akakutana na msg ya kwanza kutoka kwa "my han' ndivyo ilivyoseviwa hivyo na msg ilkuwa inasema "my han naomba ukija upitie supermarket unichukulie vitu vya ndani vimeniishia".....mr karudi kwenye gari mke kamuuliza vizuri tu kuna mtu umem save my han, ni nani huyu mume wangu, mume hakujibu lolote kawasha gari mpaka home kufika kamkung'uta mke wake ipasavyo,, akawasha gari kaondoka bila maelezo yoyote na mpaka sasa hajulikani alipo, jana asubuhi frnd ndio ananical ananieleza yote haya, ana mimba ya miezi 4 akaniambia ameona kitu kama period hivi nikamwambia wahi hosp itakuwa ni mshtuko wa kipigo, namaliza kuongea nae housegal wake ananical ananimabia "dada" amezimia, kumbe alipigwa vibaya ameumia ndani kwa ndani sehemu za kichwa yupo kcmc amelazwa hajitambui na mimba imetoka, ndio nipo naelekea moshi kumuona.....hebu mniambei jamani tunakoelekea na hizi ndoa....nimebakia kulia tu nikiomba mungu nimkute salama....waume zutu hivi mnataka tuwafanyie lipi jema kwenu jamani, mliooa humu hebu niambieni kosa la huyu mdada kupata kipigo kikali hivi ni nini?
 
Not all men are Dogs,but alot are bull dogs,real boring,sijui nikae hivi hivi tu?


nasemaga ningejua haya mie, nicngeingiaga kabisa, lakini nakushauri uingie upambane na wewe, sio zote zina makashikashi, kuna raha/kero zake humo.
 
Babra pole sana kwa huyo rafiki yako. Jamani yaani vituko hivi mie vimenichosha. Ukiingia kwenye forum ya Harusi Yangu utasema mimi siolewi kabisa yaani ndoa siku hizi ni kitu cha ajabu kabisa. Kule kuna mke mwenye mimba ya miezi saba na nusu kamkuta mumewe kwa hawara yake (baada ya kumfuatilia) akiwa uchi kama alivyozaliwa ni vile tu alipozaliwa hakuzaliwa na yale manywele meusi huko chini- mdada kwa hasira akaishia kumwambia mumewe asirudi nyumbani na jinyamaume lile halikurudi likalala kule kule kwa hawara.

Sasa huyu naye jamani ah!! Si kazi bure wazee wetu walionaga mbali walipokuwa wanawaozesha mama zetu kwa watu wanaowafahamu vizuri hadi koo zao na walihakikisha ni wa koo za karibu. Nadhani hii ilisaidia sana kupunguza mistreatments za hapa na pale.

najaribu kuwaza kama isingekuwa ni taboo nineshauri watu wawe wanaolewa na ndugu zao kama mabinamu, watoto wa baba/mama mkubwa e.t.c hizi extremes za maovu zingepungua huwenda
 
Mmmh my dia mifano mingi tunapata daily,u boyfriend tu kazi sasa huko ndani si mshike mshike?
nasemaga ningejua haya mie, nicngeingiaga kabisa, lakini nakushauri uingie upambane na wewe, sio zote zina makashikashi, kuna raha/kero zake humo.
 
jana ckupata ucngizi, nimeamka ucku nimemkodolea msukuma wangu jicho namuona ni wale wale tu....
......:D:D:D
ninavyojua mimi,wanaume wanaoongoza kwa kuwapenda na kuwajali wanawake ni wasukuma!....huyo muhishimiwa si msukuma!kama ni msukuma si orijino...!ni msukuma CHIPOLOPOLO!:D
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom