Sosthenes Maendeleo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,649
- 1,497
Haiaee huyu jamaa.....
umeongea point sana,kwakweli siwezi kumchukia mzaa chema no matter what,nitachukuliana nae tu,naomba Mungu anisaidie.Kuna umuhimu pia Wa kujua "mawazo ya mwenzako changanya na yako"
Kamwe Siwez kumshauri Mme wangu eti amtimue mzazi wake yeyote, awe mama au baba, kwangu Mimi ni Wa thamani kwa sababu wao ndo wamefanya niitwe Mrs.... Laiti Kama wasingemzaa Leo ingekuwa historia nyingnge.
NOTE: wamama/wadada wanawake wenzangu, tuwapende na kuwaheshimu wazazi Wa pande zote mbili, wawe wako au Wa mmeo. Tusibague. Maana bila wao msingelikuwa Leo Mr&Mrs......
Mapungufu kwa kila mwanadamu yapo lkn tujitahidi kuchukuliana kwani hakuna aliye mkamilifu hata kidogo.
Ni miaka mitatu Sasa toka mama yangu atoweke dunian, R. I. P mama Makuku Rey.
Namkumbuka sana mama yangu, Sema tu huwez kuazma mama wa mtu mwingne, ingewezekana ningemny'ang'any'a mama huyo jiran yako asojua kuwa mama ni wa muhimu kuliko mke
LAANA,ila amuombe Mungu sana kuhusu hilo.