Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,245
- 2,848
Ndugu yangu alikuwa kwenye ndoa iliyodumu miaka 7 na kupata mtoto mmoja wa kike,kutokana na kutokuelewana kwa shemeji na ndugu yangu kwa makosa mazito na yama kusundi yaliyofanywa na mwanamke leo hii imefikia hatima ya kuachana na kugawana vitu na mali zote walizotafuta.
Baada ya kesi yao kusikilizwa na wazee wa pande zote mbili,ndugu yangu alikuwa ana nyumba, mashamba, fremu za maduka, zote zimepigwa mnada isipokuwa mashamba ndio wamegawana bila kuuza, mtoto aliwepewa nyumba walitenga kama biashara ya kulalia wageni pamoja na shamba.
Kwa tukio hili maisha yangu yatakuwa hivi:
1.Nitatafuta pesa kwa nguvu na akili zote.
2.Kuoa sitaoa lakini nitaajiri mwanamke kwa mkataba maalumu kama house girl ni nitakuwa namlipa kwa gharama,kazi ambayo atakuwa anaifanya ni kama ya mke.
Watoto atakaozaa ni himaya yangu, siku nikiamua kumfukuza kazi namfukuza kirahisi tu,nakuajiri mwingine kuna baadhi ya wanawake wanatafuta njia za kutokea kimaisha tu kwangu hawataniweza.
Baada ya kesi yao kusikilizwa na wazee wa pande zote mbili,ndugu yangu alikuwa ana nyumba, mashamba, fremu za maduka, zote zimepigwa mnada isipokuwa mashamba ndio wamegawana bila kuuza, mtoto aliwepewa nyumba walitenga kama biashara ya kulalia wageni pamoja na shamba.
Kwa tukio hili maisha yangu yatakuwa hivi:
1.Nitatafuta pesa kwa nguvu na akili zote.
2.Kuoa sitaoa lakini nitaajiri mwanamke kwa mkataba maalumu kama house girl ni nitakuwa namlipa kwa gharama,kazi ambayo atakuwa anaifanya ni kama ya mke.
Watoto atakaozaa ni himaya yangu, siku nikiamua kumfukuza kazi namfukuza kirahisi tu,nakuajiri mwingine kuna baadhi ya wanawake wanatafuta njia za kutokea kimaisha tu kwangu hawataniweza.