mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,518
- 19,883
- Thread starter
- #121
Duu? hivi mkuu ,,mkeo aje atoe ushahidi kama nililala kwangu au guest,,huoni kama ningezidi kujiletea matatizo?KOSA kubwa ulilofanya ni kulipa hao malaya pesa ya bure. Kama kweli ulilala nyumbani kwako na mkeo ni shahidi basi angeitwa kuja kuthibitisha. Vinginevyo huna akili ww
1..Kwanza yule muhuni mwanamke angezinguwa zaidi?
2..Pili kitendo cha kushikwa na Malaya pale baada ya ugomvi kuisha ni lazima kungezuka ugomvi mwingine nyumbani na mke wangu..
3..yote kwa yote hata Kama angekuja mke wangu,,suluhisho ni lazima PESA itoke..
Mashahidi wanasema waliniona na yule Malaya usiku..
Bora nusu shari kuliko Shari kamili..