imeniuma kula kitoweo bila kaugali pembeni

imeniuma kula kitoweo bila kaugali pembeni

mkata uzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2025
Posts
1,910
Reaction score
5,457
Halafu ni wale wa kienyeji

1763472810863.jpeg
 
Mafuta kibao, kuku umemkaanga..... why usingemchoma ? Ungeagiza hata ndizi 2

Besides kuna wadau watakuja kukuambia unahangaika na ugali bado hujajipata, na ugali sio chakula !
 
I shall never entertain such kind of backwardness.
Mwanaume mzima unapost chakula kwenye mitandao 😏
Labda ni kwasababu huko Kenya kuna chakula kidogo inaonekana ni luxury

Tanzania ni vitu vya kawaida sana
 
Back
Top Bottom