Nakumbuka kuna kipindi fulani pale ubungo kulikuwa kweupe ila kuanzia juzi kama sikosei wale jamaa wameanza kuonekana kwenye ile kona ya kwenda mwenge kama unatoka kimara.
Hofu yangu, taratibu wale jamaa watarudi na huu upande wa 'Songas' kama hatua hazitachukuliwa.
Ni mtazamo tu..
Hofu yangu, taratibu wale jamaa watarudi na huu upande wa 'Songas' kama hatua hazitachukuliwa.
Ni mtazamo tu..