Imekuwaje Mkataba wa Amani kati ya Congo na Rwanda, Tanzania tumewekwa kando?

Imekuwaje Mkataba wa Amani kati ya Congo na Rwanda, Tanzania tumewekwa kando?

Kenya ndie alikua msuluhishi wa Mgogoro tangu kipindi cha Uhuru Kenyata, Rais Tsheshekedi akawa haudhurii kwakua aliamini Kenya inawapendelea Rwanda/ M 23.
Burundi anahusika Moja kwa Moja kwakua mara kadhaa Rwanda / M 23 vikosi vyao vilikua vikipambana uku Burundi aki isaidia Kongo.
Burundi imekua iki lalamika vikosi vya Rwanda/M 23 vina ingia mpakani na kusababisha vurugu.

Kenya Licha ya kuwa msuluhishi lakini aliwatambua waasi wa M23 walipo chukua miji ya Goma na Bukavu na kujitangaza Kama Nchi.

Ao walioitwa na Marekani/ Trump kwenye kupatana ndio wahusika halisi wa uo Mgogoro.
 
Nimefuatilia leo mkutano wa kuweka saini amani kati ya Rwanda na Congo naona Trump kawaalika kenya,Burundi kama mashahidi Tz imerukwa

Ikumbukwe kuwa Tz ndio ilikuwa mstari wa mbele kupigania amani ya congo tumepoteza masolja wengi sana kule zaidi ya kenya saaasa mbona Tz skuizi tunawekwa kando tena nlitegemea samuya angekuwepo white house leo
Maana yake mmesha poteza haiba ya kuwa wasuluhishi sasa rasmi mmekuwa wachonganishi,na msioweza kuliunganisha japo tu, taifa lenu wenyewe.
 
Nimefuatilia leo mkutano wa kuweka saini amani kati ya Rwanda na Congo naona Trump kawaalika kenya,Burundi kama mashahidi Tz imerukwa

Ikumbukwe kuwa Tz ndio ilikuwa mstari wa mbele kupigania amani ya congo tumepoteza masolja wengi sana kule zaidi ya kenya saaasa mbona Tz skuizi tunawekwa kando tena nlitegemea samuya angekuwepo white house leo
Wameona hamna kiongozi mwenye busara..yupo muimba taarabu tu Sasa ataongea nini zaidi ya mipasho na kula Kacholi
 
Nimefuatilia leo mkutano wa kuweka saini amani kati ya Rwanda na Congo naona Trump kawaalika kenya,Burundi kama mashahidi Tz imerukwa

Ikumbukwe kuwa Tz ndio ilikuwa mstari wa mbele kupigania amani ya congo tumepoteza masolja wengi sana kule zaidi ya kenya saaasa mbona Tz skuizi tunawekwa kando tena nlitegemea samuya angekuwepo white house leo
Trump hawezi kukaa meza moja na zero brain wewe!
 
Wala hakuna haja ya Tanzania kualikwa sababu, vita ni kati ya Rwanda na Congo, hata Uganda hakualikwa japo ana majeshi ya ndani ya Congo, na M23 kinara wa vita pia hakualikwa
Kaeni kwa kutulia....
Hakuna mtu mwenye akili ataita serikali ya wapumbavu na wauaji kama Samia kwenye mikataba ya amani, now we’re worse than Fuckkin Somalia ,CCM ndio waliotufikisha hapa, lazima waondoke
 
20251204_205720.jpg
 
Kwahiyo kwa unyambisi wote na umwagaji damu uliotokea nchini ulitegemea tuitwe nchi ya amani kweli!
 
Nayaangalia machoko ya kitima yanavyojitekenya na kuchemka yenyewe nabaki kucheka tu. Bado saaaaana Tanzania kufika huko mnakowaza nyie vifurukunyoko. Hamjui chochote kuhusu hayo mambo zaidi ya kubwabwaja tu hapa.......kuongelea Yale mnayotamani yatokee.

Nawakumbusha tu, huyo Ruto anayealikwa na trump alikuwa huko icc hivi majuzi tu. Mapunga nyie!!!
 
Nimefuatilia leo mkutano wa kuweka saini amani kati ya Rwanda na Congo naona Trump kawaalika kenya,Burundi kama mashahidi Tz imerukwa

Ikumbukwe kuwa Tz ndio ilikuwa mstari wa mbele kupigania amani ya congo tumepoteza masolja wengi sana kule zaidi ya kenya saaasa mbona Tz skuizi tunawekwa kando tena nlitegemea samuya angekuwepo white house leo

Pia naambiwa makamu wa Raisi wa uganda alikuwepo Tz imewekwa kando je kuna nini?
Sababu kuna jambo letu linakuja!

Sijui lipi litawahi ni la ICC ama lipi!
 
Back
Top Bottom