Maana yake mmesha poteza haiba ya kuwa wasuluhishi sasa rasmi mmekuwa wachonganishi,na msioweza kuliunganisha japo tu, taifa lenu wenyewe.Nimefuatilia leo mkutano wa kuweka saini amani kati ya Rwanda na Congo naona Trump kawaalika kenya,Burundi kama mashahidi Tz imerukwa
Ikumbukwe kuwa Tz ndio ilikuwa mstari wa mbele kupigania amani ya congo tumepoteza masolja wengi sana kule zaidi ya kenya saaasa mbona Tz skuizi tunawekwa kando tena nlitegemea samuya angekuwepo white house leo
Kashachafuka na midamu ya period.. muda umeishatena nlitegemea samuya angekuwepo white house leo
Wameona hamna kiongozi mwenye busara..yupo muimba taarabu tu Sasa ataongea nini zaidi ya mipasho na kula KacholiNimefuatilia leo mkutano wa kuweka saini amani kati ya Rwanda na Congo naona Trump kawaalika kenya,Burundi kama mashahidi Tz imerukwa
Ikumbukwe kuwa Tz ndio ilikuwa mstari wa mbele kupigania amani ya congo tumepoteza masolja wengi sana kule zaidi ya kenya saaasa mbona Tz skuizi tunawekwa kando tena nlitegemea samuya angekuwepo white house leo
Trump hawezi kukaa meza moja na zero brain wewe!Nimefuatilia leo mkutano wa kuweka saini amani kati ya Rwanda na Congo naona Trump kawaalika kenya,Burundi kama mashahidi Tz imerukwa
Ikumbukwe kuwa Tz ndio ilikuwa mstari wa mbele kupigania amani ya congo tumepoteza masolja wengi sana kule zaidi ya kenya saaasa mbona Tz skuizi tunawekwa kando tena nlitegemea samuya angekuwepo white house leo
Hakuna mtu mwenye akili ataita serikali ya wapumbavu na wauaji kama Samia kwenye mikataba ya amani, now we’re worse than Fuckkin Somalia ,CCM ndio waliotufikisha hapa, lazima waondokeWala hakuna haja ya Tanzania kualikwa sababu, vita ni kati ya Rwanda na Congo, hata Uganda hakualikwa japo ana majeshi ya ndani ya Congo, na M23 kinara wa vita pia hakualikwa
Kaeni kwa kutulia....
Sasa si uliona Hichilema alitumwa aje?Tanzania inapoelekea ipo siku Burundi na Rwanda watakuja kutupatanisha.
Sababu kuna jambo letu linakuja!Nimefuatilia leo mkutano wa kuweka saini amani kati ya Rwanda na Congo naona Trump kawaalika kenya,Burundi kama mashahidi Tz imerukwa
Ikumbukwe kuwa Tz ndio ilikuwa mstari wa mbele kupigania amani ya congo tumepoteza masolja wengi sana kule zaidi ya kenya saaasa mbona Tz skuizi tunawekwa kando tena nlitegemea samuya angekuwepo white house leo
Pia naambiwa makamu wa Raisi wa uganda alikuwepo Tz imewekwa kando je kuna nini?
Duh