only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
...Yule mshambuliaji wetu hatari Ngasa alichaguliwa kukipa nguvu kikosi chetu cha Manyara Stars(U-23) lakini cha kushangaza hata kwenye orodha ya wachezaji waliotakiwa kulitetea Taifa letu hakuwepo...najiuliza kunani? Au walihisi yanaweza kutupata ya Nurdin Bakari kipindi cha FAT ya Muhidin Ndolanga...?