Imekuwa Rasmi sasa.. Nimempata wa Moyoni!!...

Imekuwa Rasmi sasa.. Nimempata wa Moyoni!!...

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
19,489
Reaction score
18,379
Kwako, shansarie....

Kupitia Kwa,
Mwenyekiti rasmi wa jukwaa
Baba V..

K. K.
Mwenyekiti wakujitakia,
manoah..

K.K
Ofisi ya ukaguzi..
ya mzee Aspirin..

K.K
Wanasheria wote
wa Chit Chat..

K.K
Kwa ndugu zangu wote..
Mamndenyi, Arushaone, watu8 and u MMAHE..

K.K
Ndugu Erickb52 na Wakeze Chocs & Kipipi..

Napenda kuweka mambo hadharani sasa.. nimempata wakunitoa ugwadu,
naomba tutambulike sasa kuwa humu ndani mimi Kiwatengu na shansarie ni wapenzi rasmi..

Nashukuru sana kwa kukubali kuwa nami.. I love u sana my shansarie!!

Nipo kwenye process za kumwamishia huku niliko..

Hii ndiyo itakuwa couple bora for all times..
May God bless us..

copy kwa;
[MENTION=11167]B
 
Last edited by a moderator:
Hongera mkuu, sasa piga mzigo mpaka kuchee!
 
Hongera sana
kweli huyo uliyempata ni jina geni kabisa
siamini hata kama wazee wa kukagua yaani mizigo Erickb52 na Asprin kama walimpitia huyu

kila la kheri katika maisha yenu hayo mapya.
 
Last edited by a moderator:
du.. ngoja nikae pembeni mieeee
images.jpeg
 
Hongera sana
kweli huyo uliyempata ni jina geni kabisa
siamini hata kama wazee wa kukagua yaani mizigo Erickb52 na Asprin kama walimpitia huyu

kila la kheri katika maisha yenu hayo mapya.

aliingia akakutana na ile post ya ugwadu nilivyotoka jela akakubali kunipokea..luv her sana!!
 
Last edited by a moderator:
sio post ya ugwadu tu nilikumezea mate mda kweli sema pale sasa nikaona hapa ndo mwake,lazma kieleweke@kiwatengu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom