Sijui Mimi ndo nina shida au vipi!
Mtoto wa watu (house girl) anahaki ya kuwasiliana na watu wake!
Lakini pale anapopigiwa simu na mabwana zake au kuchat na kitochi pachapacha mbele yangu huwa nachukia sana, huwa natamani nifurushe kabisa!
Siyo bek3 tu, hata wadogo zake na mke wangu wa kike (shemeji) wakipokea simu za wanaume wao mbele yangu huwa namaindi kinyama ila huwa siwambii!
Nalipa mshahara, nalisha vizuri, navisha kama watoto wangu!
Lakini ile pacha pacha ya zimu za wanaume nikisikia huwa natamani nimfukuze kabisa aondoke kwangu!
Huwa naona kama natunza mizigo ya watu!
Je hili la kuumizwa na simu za bek3 au shemeji ni Mimi tu na huko kwenu?
Mtoto wa watu (house girl) anahaki ya kuwasiliana na watu wake!
Lakini pale anapopigiwa simu na mabwana zake au kuchat na kitochi pachapacha mbele yangu huwa nachukia sana, huwa natamani nifurushe kabisa!
Siyo bek3 tu, hata wadogo zake na mke wangu wa kike (shemeji) wakipokea simu za wanaume wao mbele yangu huwa namaindi kinyama ila huwa siwambii!
Nalipa mshahara, nalisha vizuri, navisha kama watoto wangu!
Lakini ile pacha pacha ya zimu za wanaume nikisikia huwa natamani nimfukuze kabisa aondoke kwangu!
Huwa naona kama natunza mizigo ya watu!
Je hili la kuumizwa na simu za bek3 au shemeji ni Mimi tu na huko kwenu?