habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
- Thread starter
- #21
Mkuu Ibambangulu ingalikuwa ni kwa wazungu wangalimfanya kuwa mtume, alikuwa na maajabu makubwa sana, aliwahi kuweka maziwa fresh bila kuganda ndani ya miaka 3,nabii huyu wa kiafrika alikuwa na maajabu mengi sana likiwa pamoja na hili
alikuwa akiingia kwenye chumba alikuwa na uwezo wa kujaa chumba kizima na hii ilipelekea mauti yake ambapo siku moja alijaa kwenye chumba na nje kulikuwa na kuku mmoja aliyekuwa anatembea kutafuta chakula aliona kitu kama nyama na akadonoa kumbe ulikuwa mwili wa nabii huyu na hapo hapo mauti yalimfika nabiii wa kiafrika akafa akiwa ameacha maajabu mengi