Chokochoko
JF-Expert Member
- Oct 15, 2011
- 438
- 184
Wakubwa heshima zenu na wadogo hi,
Kuna jambo limeniumiza moyowangu sana naamini humu nitapata mtazamo mwema na wenye hekima.
Nimelelewa kwenye familia ya kikristo ila siongelei dini ni yeyote mwenye hekima anaweza toa maoni yake, Nina imani sana kuwa Mungu ni muweza wa mambo yote yooote yanayotukabili, huwa napenda kuachilia kila kitu kwa Mungu na familia yangu ndioilivyo miles hivyo,
Sasa mkasa ndio huu hapa, mwaka Jana sitsusahau baba yangu alipata ajali mbaya sana nusura tungemkosa ila kwabahati nzuri hakufa ila aliumia sana tulimuuguza mwaka mzima.
Niliomba sana Mungu amponye nakushirikiana na familia yangu tulikuwa tunaomba kwabidi nakuwashirikisha watumishi wa Mungu wamuombee na kwa uweza wa Mungu akaja kupona sasahivi yupovizuri kabisa ni jambo kubwa kwetu na lakushangaza lakimiujiza kwahali aliyokuanayo.
Sasa hivi majuzi nikawa naongea na mama kwanjia yasimu tuu maana wao wako mkoa, nikamuulizia baba anavyoendelea nanini chaajabu ni statement aliyonijibu eti ingekua kama siyo yeye kwenda kwa mganga wa kienyeji kwabidii baba tungemkosa, yaaani daah sikuamini hayo maneno Kama yangeweza kumtoka yeye any way nikapuuza tuu.
Imepita Kama miezi 6 hivi mdogo wangu alipata matatizo akarudi nyumbani japo kimaisha hajakaa vizuri ni mtu wakuyumbayumba sana ila navyojua nikutokana na life style yake ndio inayomfanya asisimame kimaisha.
Sasa niliongea na watumishi wa Mungu wawe wanamuombea hadi juzi hapa mtumishi mmoja akanieleza kuwa huyu dogo amefungwa na watufulani, anyway nikaongea na mama kwakusudi la kumsaidia kimaombi zaidi cha ajabu sasa statement aliyoijibu mama.
maombi yatachelewa nitaongea na mganga atamsaidia upesi nimeishiwa nguvu moyo wangu umeniuma kuona nyakati kama hizi mama ndio keshatekwa naimani za kishirikina kiasi hiki.
Naombeni msaada wenu wa mawazo nifanyeje mama mzazi akishatekwa hivyo.
Kuna jambo limeniumiza moyowangu sana naamini humu nitapata mtazamo mwema na wenye hekima.
Nimelelewa kwenye familia ya kikristo ila siongelei dini ni yeyote mwenye hekima anaweza toa maoni yake, Nina imani sana kuwa Mungu ni muweza wa mambo yote yooote yanayotukabili, huwa napenda kuachilia kila kitu kwa Mungu na familia yangu ndioilivyo miles hivyo,
Sasa mkasa ndio huu hapa, mwaka Jana sitsusahau baba yangu alipata ajali mbaya sana nusura tungemkosa ila kwabahati nzuri hakufa ila aliumia sana tulimuuguza mwaka mzima.
Niliomba sana Mungu amponye nakushirikiana na familia yangu tulikuwa tunaomba kwabidi nakuwashirikisha watumishi wa Mungu wamuombee na kwa uweza wa Mungu akaja kupona sasahivi yupovizuri kabisa ni jambo kubwa kwetu na lakushangaza lakimiujiza kwahali aliyokuanayo.
Sasa hivi majuzi nikawa naongea na mama kwanjia yasimu tuu maana wao wako mkoa, nikamuulizia baba anavyoendelea nanini chaajabu ni statement aliyonijibu eti ingekua kama siyo yeye kwenda kwa mganga wa kienyeji kwabidii baba tungemkosa, yaaani daah sikuamini hayo maneno Kama yangeweza kumtoka yeye any way nikapuuza tuu.
Imepita Kama miezi 6 hivi mdogo wangu alipata matatizo akarudi nyumbani japo kimaisha hajakaa vizuri ni mtu wakuyumbayumba sana ila navyojua nikutokana na life style yake ndio inayomfanya asisimame kimaisha.
Sasa niliongea na watumishi wa Mungu wawe wanamuombea hadi juzi hapa mtumishi mmoja akanieleza kuwa huyu dogo amefungwa na watufulani, anyway nikaongea na mama kwakusudi la kumsaidia kimaombi zaidi cha ajabu sasa statement aliyoijibu mama.
maombi yatachelewa nitaongea na mganga atamsaidia upesi nimeishiwa nguvu moyo wangu umeniuma kuona nyakati kama hizi mama ndio keshatekwa naimani za kishirikina kiasi hiki.
Naombeni msaada wenu wa mawazo nifanyeje mama mzazi akishatekwa hivyo.