Imani Ya Kweli Ya Mungu Mmoja Wa Kweli

Imani Ya Kweli Ya Mungu Mmoja Wa Kweli

Hujaweza kuthibitisha kwamba Mungu yupo?

Kwa nini unasema Mungu yupo wakati huwezi kuthibitisha Mungu yupo?

Huoni kuwa unaweza kuwa unapotosha watu kuwa Mungu yupo wakati hayupo?

Unajali kama imani yako ipo katika ukweli au unahubiri tu imani yako bila kujali kama ipo katika ukweli?
Nimethibitisha kwenye makala niliyotoa hapa, uthibitisho wa MUNGU yupo ni uwepo wa mbingu na nchi, hivi ameviumba Yeye havijatokea vyenyewe... Na wewe ni matokeo ya uumbaji wa MUNGU.
 
Yesu sio Mungu na kamwe hawezi kuwa Mungu
Wewe wasema ila neno la Mungu linathibitisha Yesu ni Mungu

Yohana 1
1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.
 
Nimethibitisha kwenye makala niliyotoa hapa, uthibitisho wa MUNGU yupo ni uwepo wa mbingu na nchi, hivi ameviumba Yeye havijatokea vyenyewe... Na wewe ni matokeo ya uumbaji wa MUNGU.
Huu si uthibitisho.

Hii ni logical non sequitur fallacy.

Umejiongezea swali tu, unathibitishaje Mungu ameumba mbingu na nchi?

Unathibitishaje mimi ni matokeo ya uumbaji wa Mungu?

Usiseme tu Mungu kaumba mbingu na nchi, usiseme tu Mungu kaniumba mimi.

Thibitisha.
 
Huu si uthibitisho.

Hii ni logical non sequitur fallacy.

Umejiongezea swali tu, unathibitishaje Mungu ameumba mbingu na nchi?

Unathibitishaje mimi ni matokeo ya uumbaji wa Mungu?

Usiseme tu Mungu kaumba mbingu na nchi, usiseme tu Mungu kaniumba mimi.

Thibitisha.
Mwanzo 1:1
"Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi."
Hapa inaonyesha kuwa chanzo cha kila kitu ni Mungu.
 
Wewe wasema ila neno la Mungu linathibitisha Yesu ni Mungu

Yohana 1
1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.
Unaweza kuthibitisha haya maandiko kama Yesu mwenyw anayajua au lah?
 
Unaweza kuthibitisha haya maandiko kama Yesu mwenyw anayajua au lah?
Haya maandiko umeelewa? Bila shaka hujaelewa ndio maana umeuliza swali lilelile lililotolewa majibu.
Biblia ambalo ni neno la Mungu inathibitisha hili;

Yohana 1
1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
 
Wewe wasema ila neno la Mungu linathibitisha Yesu ni Mungu

Yohana 1
1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.
Hapo ndipo mnapo kosea je maneno haya alisema nani
Katika Yohana 5:36
Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe,mimi nina hukumu
Kama ninavyosikia kutoka kwa Baba,nayo hukumu yangu ni ya haki,
sikufanya nipendavyo mwenyewe,bali,apendavyo yule aliyenituma.
 
Haya maandiko umeelewa? Bila shaka hujaelewa ndio maana umeuliza swali lilelile lililotolewa majibu.
Biblia ambalo ni neno la Mungu inathibitisha hili;

Yohana 1
1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
Thibitisha haya maneno kama Yesu anajua acha kuruka ruka kama uwez Kuonesha wapi Yesu alisema maneno hayo acha kumlisha maneno asiyoyatambua uwongo wa watu wengne kwa maneno ambayo hayana uthibitisho kama yameandikwa na hata huyo Yohana mwenyw
 
Mwanzo 1:1
"Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi."
Hapa inaonyesha kuwa chanzo cha kila kitu ni Mungu.
Kwa nini ukubali hayo maneno ni ya ukweli na si hadithi za watu tu?

Hicho kitabu kina uongo mwingi sana, ambao tunaweza kuonesha huu ni uongo, kimantiki.

Sasa kwa nini tukubali hayo maneno ni ukweli, na si hadithi za uongo za kutungwa na watu tu?
 
Kwa nini ukubali hayo maneno ni ya ukweli na si hadithi za watu tu?

Hicho kitabu kina uongo mwingi sana, ambao tunaweza kuonesha huu ni uongo, kimantiki.

Sasa kwa nini tukubali hayo maneno ni ukweli, na si hadithi za uongo za kutungwa na watu tu?
Umechanganyikiwa kweli kweli,
 
Umechanganyikiwa kweli kweli,
Bado unanishambulia mimi badala ya kujibu hoja.

That is ad hominem logical fallacy.

Jibu maswali.

Kwa nini ukubali hayo maneno ni ya ukweli na si hadithi za watu tu?

Hicho kitabu kina uongo mwingi sana, ambao tunaweza kuonesha huu ni uongo, kimantiki.

Sasa kwa nini tukubali hayo maneno ni ukweli, na si hadithi za uongo za kutungwa na watu tu?
 
Bado unanishambulia mimi badala ya kujibu hoja.

That is ad hominem logical fallacy.

Jibu maswali.

Kwa nini ukubali hayo maneno ni ya ukweli na si hadithi za watu tu?

Hicho kitabu kina uongo mwingi sana, ambao tunaweza kuonesha huu ni uongo, kimantiki.

Sasa kwa nini tukubali hayo maneno ni ukweli, na si hadithi za uongo za kutungwa na watu tu?
Umeshasema kitabu cha uongo, hiyo itabaki kwako na wewe ukiwa unaamini uongo vilevile, na biblia imesema wazi kuhusu watu kama ninyi 👇

Zaburi 14:1
"Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu..."

Kwa hiyo huwezi kunipa shida kwa sababu

Biblia inasema kutokukubali Mungu yupo ni upumbavu, ikiashiria kuwa kuwepo kwake ni jambo lililo wazi kama nilivyofafanua hapo awali.

Na kinachonifanya mimi niamini Mungu yupo ni neno lake, imani yangu inatokana na neno la Mungu.

Waebrania 11:6
"Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza, kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye upo, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao kwa bidi."

Hapa imani inaamini Mungu yupo, na namwendea kila wakati kumwona, uwepo wake ni dhahiri kwetu.

Kutokuamini kwako haiwezi kuondoa ukweli wowote kuwa Mungu yupo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom