Kuna kijana mtanashati, handsome! Ameoa msichasna mlemavu anayetambaa kama uonavyo mtoto anavyotambaa. Nisema nikasichana kamedumaa na ulemavu.
Imani iliyokomaa: Kijana amemuoa akisema atapata thawabu kwa vile amemsaidia asiyejiweza kwa kumuoa na hivyo Peponi ameshahakikishiwa!
Mungu amjalie kwa kweli.
Imani iliyokomaa: Kijana amemuoa akisema atapata thawabu kwa vile amemsaidia asiyejiweza kwa kumuoa na hivyo Peponi ameshahakikishiwa!
Mungu amjalie kwa kweli.