CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Habari wakuu,
Angalizo kwa Mods...... Iwapo hii mada ilishawahi kujadiliwa humu ruksa kuunganisha.
Kuna imani ambazo watu wengi wanaziamini, kama hizi......
Iwapo baba/mama amefariki huwa wanachukua kipande cha nguo ya marehemu na kumfunga mtoto wa marehemu (hasa watoto wenye umri mdogo) ili asipatwe na maruweruwe, hivi kuna uhusiano gani kati ya maruwereruwe na marehemu?
Nyingine hii, watoto wa marehemu (hasa wadogo) huenda na kugusa paji la uso la marehemu ili kuzuia asipatwe na maruweruwe.
Watoto wadogo (wengi wetu tumewaona katika vyombo vya usafiri wa public au hata mtaani na wengine hivi ninavyoandika ni wahusika) hufungiwa kitambaa cheusi mikononi, kiunoni au hata mguuni. Kitambaa hiko huwa nimewekewa kitovu chake kilichokatika akiwa na umri mdogo, au nywele za kwanza kunyolewa. Hivi hiko kitovu huwa kinasaidia nini au hizo nywele???
Nyine hii: Mtoto akikatika kitovu utasikia USIKITUPE HOVYO, mara peleka kazike kwenu. au mtoto akinyolewa kwa mara ya kwanza, utasikia tuna hizo nywele, mara sijui weka wapi..........
Je kuna mafanikio ya hayo yafanywayo?
Angalizo kwa Mods...... Iwapo hii mada ilishawahi kujadiliwa humu ruksa kuunganisha.
Kuna imani ambazo watu wengi wanaziamini, kama hizi......
Iwapo baba/mama amefariki huwa wanachukua kipande cha nguo ya marehemu na kumfunga mtoto wa marehemu (hasa watoto wenye umri mdogo) ili asipatwe na maruweruwe, hivi kuna uhusiano gani kati ya maruwereruwe na marehemu?
Nyingine hii, watoto wa marehemu (hasa wadogo) huenda na kugusa paji la uso la marehemu ili kuzuia asipatwe na maruweruwe.
Watoto wadogo (wengi wetu tumewaona katika vyombo vya usafiri wa public au hata mtaani na wengine hivi ninavyoandika ni wahusika) hufungiwa kitambaa cheusi mikononi, kiunoni au hata mguuni. Kitambaa hiko huwa nimewekewa kitovu chake kilichokatika akiwa na umri mdogo, au nywele za kwanza kunyolewa. Hivi hiko kitovu huwa kinasaidia nini au hizo nywele???
Nyine hii: Mtoto akikatika kitovu utasikia USIKITUPE HOVYO, mara peleka kazike kwenu. au mtoto akinyolewa kwa mara ya kwanza, utasikia tuna hizo nywele, mara sijui weka wapi..........
Je kuna mafanikio ya hayo yafanywayo?