Imani haba miongoni mwa waumini.

Imani haba miongoni mwa waumini.

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,082
Reaction score
2,358
Jambazi mmoja aliingia kanisani akiwa na bunduki mkonon,akasema,''haya wanaosema wanampenda yesu wabaki humu wasiompenda watoke nje,ndani akabaki mchungaji na wazee.''jambazi akamgeukia mchungaji akamwambia,''mtumishi,unaweza kuendelea na ibada,me nlitaka kukuondolea wanafiki tu.
 
Back
Top Bottom