Imani (dini) ya kweli haiishii kwenye hoja.

Imani (dini) ya kweli haiishii kwenye hoja.

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
9,756
Reaction score
15,554
Juhudi za kimwili na akili tulizonazo binadamu wote hazitoshi kuwa ushahidi wa imani ya Mungu mwenye nguvu kupita wote.

Kuna Mungu na miungu.
Viumbe kama miungu vina nguvu, na nguvu hiyo tunaita nguvu ya kiroho (maarifa ya kiroho)

Tunafahamu Mungu aliyetuumba ndie ana nguvu kubwa ya kiroho (yani ana maarifa makubwa ya kiroho) kupita miungu yote na ndio maana anakuwa Roho isio onekana kwa roho zingine zote.

When you become more spiritual, means you become invisible to other spirit.
Kwanini mchawi anakuja kwako na umuhoni, ni kwasababu anajua mambo ya Rohoni kukuzidi.

Nikupe mfano wa Uchawi unaofanywa na watu wengi wa rohoni bila kujua:
umewahi kuongea na mtu ambae ni wa karibu kwako, then akawa anakwambia siri na mambo yake, ambayo yanamfunua kwamba yeye si mtu mzuri, au alifanya jambo fulani yani ni mtu anajisema madhambi yake, ni kama bila kujijua na maisha yakiendelea huyo mtu anafikiri ilo jambo wewe hujui, kumbe alikwambia yeye mwenyewe 😁😅

uwo ni mfano wa uchawi, ambao ukiwa rohoni sana, basi watu wanakiri mambo yao bila kutarajia.

Mada:
Kwahiyo ukiwa na imani au dini ya kweli, haiishihi kwenye maneno bali huenda hadi kwenye kupata nguvu za rohoni..

Nguvu za rohoni (Spiritual power)
zinatumika maeneo mengi sana.. kibiashar, ulinzi, majukumu makubwa na n.k

Je unajijua Kama una Nguvu za rohoni, na nini hutokea kwa asie na nguvu za rohoni.

Dini na imani zote hufundisha na wengine hawafundishi kwa kutokujua au Kufanya kama ni elimu na maarifa ya siri.

Ushindani wa Nguvu za kiroho kwa anayetumikia miungu na Anayemtumikia Mungu wa kweli vita hii mshindi ni yule atakua upande wa Mungu wa kweli na anajua nini anafanya.

Kutokujua tu sifa za mungu wako na anakutaka ufanye nini, ni hasara na kupelekea kukosa nguvu nyingi sana za kiroho.

Kipimo kinachotumika kupima nguvu za kiroho...
....
 
Tunamjuaje huyo Mungu wa kweli na tunajiconnect vipi nae
Imani zote zinafundisha sifa za Mungu na anapatikana vipi, aifa ya Kwanza ni Mungu wa haki.
Elimu ikianzia hapo ni sehemu salama kwenda kuujua ukweli wote.

Nitaje mambo mawili muhimu ya kufahamu yakupe nguvu.

✓ Sifa yake Mungu (Tabia ya Mungu au misimamo yake)
Hiki ni kitu cha kwanza muhimu kufahamu.. kitakuoa nguvu kubwa ya kiroho.

✓ Kanuni zinazotawala dunia (nature)
hii pia ukifahau kwa usahihi itakuongezea kuvu za rohoni.
mfano:
  • Kujua ishara za lugha na maana yake.
  • Binadamu kaumbwaje na anategemea nn kuishi. n.k
 
Juhudi za kimwili na akili tulizonazo binadamu wote hazitoshi kuwa ushahidi wa imani ya Mungu mwenye nguvu kupita wote.

Kuna Mungu na miungu.
Viumbe kama miungu vina nguvu, na nguvu hiyo tunaita nguvu ya kiroho (maarifa ya kiroho)

Tunafahamu Mungu aliyetuumba ndie ana nguvu kubwa ya kiroho (yani ana maarifa makubwa ya kiroho) kupita miungu yote na ndio maana anakuwa Roho isio onekana kwa roho zingine zote.

When you become more spiritual, means you become invisible to other spirit.
Kwanini mchawi anakuja kwako na umuhoni, ni kwasababu anajua mambo ya Rohoni kukuzidi.

Nikupe mfano wa Uchawi unaofanywa na watu wengi wa rohoni bila kujua:
umewahi kuongea na mtu ambae ni wa karibu kwako, then akawa anakwambia siri na mambo yake, ambayo yanamfunua kwamba yeye si mtu mzuri, au alifanya jambo fulani yani ni mtu anajisema madhambi yake, ni kama bila kujijua na maisha yakiendelea huyo mtu anafikiri ilo jambo wewe hujui, kumbe alikwambia yeye mwenyewe 😁😅

uwo ni mfano wa uchawi, ambao ukiwa rohoni sana, basi watu wanakiri mambo yao bila kutarajia.

Mada:
Kwahiyo ukiwa na imani au dini ya kweli, haiishihi kwenye maneno bali huenda hadi kwenye kupata nguvu za rohoni..

Nguvu za rohoni (Spiritual power)
zinatumika maeneo mengi sana.. kibiashar, ulinzi, majukumu makubwa na n.k

Je unajijua Kama una Nguvu za rohoni, na nini hutokea kwa asie na nguvu za rohoni.

Dini na imani zote hufundisha na wengine hawafundishi kwa kutokujua au Kufanya kama ni elimu na maarifa ya siri.

Ushindani wa Nguvu za kiroho kwa anayetumikia miungu na Anayemtumikia Mungu wa kweli vita hii mshindi ni yule atakua upande wa Mungu wa kweli na anajua nini anafanya.

Kutokujua tu sifa za mungu wako na anakutaka ufanye nini, ni hasara na kupelekea kukosa nguvu nyingi sana za kiroho.

Kipimo kinachotumika kupima nguvu za kiroho...
....
Mwamba nakukubali Sana.

Screenshot_2025-08-02-14-10-13-92_965bbf4d18d205f782c6b8409c5773a4~2.jpg
Screenshot_2025-08-02-14-12-09-28_965bbf4d18d205f782c6b8409c5773a4~2.jpg
 
Back
Top Bottom