Hahahaha lol! We subiri tu hilo party la JF la kufa mtu 🙂 utamuona tu BaK hata hapotei hahahahah lol! Ukishindwa kunitambua basi nitakufuata 🙂 ili nijitambulishe rasmi. Husninyo mie ndiye BaK hahahah lol!YouTube - ‪Britney Spears - Till The World Ends‬‏
eti eeh! hahahahahaha unapenda kujinafasi lol! safi sana hiyo tena kwenye muziki wa siku hiyo ndio poa sana maana utaweza kufanya vitu vyako kwenye ndombolo, mayenu na hata kamanyola tena bila kubanwa banwa 🙂 hahahahah lol!
Nitaangalia mwitikio wa dancing floor.nikiona watu wanakatika zinapopigwa
nyimbo za DDC MlimaniPark, OTTU, MATIMILA ; OSS, MADILU Nitajua kina Bala, REV: MASANILO, MS, FAIZA FOXY,
Chatu dume, Katavi.Dingiswayo, Cheusimangala,DECI:
Mimi nilidhani mngemuweka chini na kumuelimisha sera za chadema na kumjibu maswali yake yote paleple ... sidhani kumkamata na kumpiga itakuwa sahihi mtaonekana kama kundi la wahuni...
anyways iam sure hayo ni mawzo yako peke yako si ya wanaojiita wanaharakati wote
Mimi nilidhani mngemuweka chini na kumuelimisha sera za chadema na kumjibu maswali yake yote paleple ... sidhani kumkamata na kumpiga itakuwa sahihi mtaonekana kama kundi la wahuni...anyways iam sure hayo ni mawzo yako peke yako si ya wanaojiita wanaharakati wote
Mkuu it's obvious hujawahi jadili mada na huyu jamaa ili umuelimishe,unaweza ukabomoa likibodi kwa hasira maana jamaa huwa haelewi,ndo maana jamaa hapo anakwambia huyu ungekuta kachezea kichapo zamani sana,teh
Mi nikimuona mtu kavaa nguo za kiuchungaji huku mkononi ameshika chupa ya Bia nitajua mara moja kuwa ni Alwatani Rev.com Fr Masanilo...
Nikiona Mchalii ametulizana kimya na kila akiongea anavunja watu mbavu mara moja nitakuwa nimemtambua Yo Yo..
Bado sijawapatia picha Paka Jimmy, Saint Ivuga, Miss Judith, Rose1980 na Nyani Ngabu...
Mm ningependa kuwaona how do they look pairs hizi za wanaJF: Malaria sugu na Chloroquine/Asprin, Kipindupindu na Sulphadoxine. Nahisi kuna jambo linawaunganisha medically