IRAQW MINING
Member
- Apr 18, 2011
- 86
- 6
Lizy nitamtambu kwa maneno ya shortcut,anapenda sn hizo aise!
Kumbe!!!!:majani7:Utani mwengine ni wa ngumi, hivi Mzee Yussuf wa Jahazi akikusikia itakuaje?
Mi ntamtambua maria roza fasta kwa kiwango cha ashki alichonacho kila mara.
Kuna mmoja hapa ni shoga nitamuona kwa mavazi yake na kuongea kwake kwa vidole juu!
Hahahaha!utashangaa mod anaita mr.mak, Nape anaitikia 'present sir!'
Mbona rahisi? Si avatar zao ziko wazi? Mfano mi ndo niko kama unionavyo hapo
U made my day!Ha,ha,ha,ha,haaaaa!
utashangaa mod anaita mr.mak, Nape anaitikia 'present sir!'
Haa haa haaa!Kwanini tukutane?
Easy ntasimama katikati then nasema "free beers,free beers every one.."
the first to respond,you have got your Asprin!
Then i'd go to the door and scream "OMG JK is outside joining us today.."
'Viola' utampata Malaria bila wasi..lol
Then naangalia sehemu walipokaa wasichana naenda nawaambia "Hii hela nimeokota hapo ya nani?"
Mmoja hata kabla hajaiona utamsikia "leta hapa ya kwangu" mwingine atamsunta "wewe hela yako umeidondosha saa ngapi!" Umeshawapata Lizzy na Afrodenzi.lol