Utawezaje kumtambua mwenzio kwamba huyu ndo labda bujibuji, maralia sugu, dena amsi, hmaster nk bila ya kujitambulisha. Mi ntaangalia lafudhi zao tu, je wewe!:majani7:
hahahhaha najua unamsema nani hapooo duuu!kuna mmoja hapa ni shoga nitamuona kwa mavazi yake na kuongea kwake kwa vidole juu!
Kuna mmoja hapa ni shoga nitamuona kwa mavazi yake na kuongea kwake kwa vidole juu!
Utawezaje kumtambua mwenzio kwamba huyu ndo labda bujibuji, maralia sugu, dena amsi, hmaster nk bila ya kujitambulisha. Mi ntaangalia lafudhi zao tu, je wewe!:majani7:
sorry nntasikiliza lafudhi zao na si kuziangalia. Kwa mfano nikimsikia msichana au mwanamke kila mala anatumia neno bana badala ya bwana nitajua huyu ndo DA.
Tuwaulize wale waliokutana Arusha wakati wanafanya utalii wa ndani, je walitambuana bila kuulizana?
Kuna mmoja hapa ni shoga nitamuona kwa mavazi yake na kuongea kwake kwa vidole juu!
Kuna mmoja hapa ni shoga nitamuona kwa mavazi yake na kuongea kwake kwa vidole juu!
Utani mwengine ni wa ngumi, hivi Mzee Yussuf wa Jahazi akikusikia itakuaje?Kuna mmoja hapa ni shoga nitamuona kwa mavazi yake na kuongea kwake kwa vidole juu!
Kuna mmoja hapa ni shoga nitamuona kwa mavazi yake na kuongea kwake kwa vidole juu!