I'm still waiting for her message 😔

I'm still waiting for her message 😔

Nieleweni wanaume.
Kuna wanawake aina kuu 2.

1. Anakuja kwako akitegemea kurina asali na mwanzoni atakuonyesha mahaba sana.

Akigundua huna hiyo asali..pesa anakata mguu.

2. Huyu anataka mtu sahihi, mwanzoni atakuzingua akikupima kwa vigezo vyake.
Akigundua kuwa wewe u mtu sahihi kwake..yeye ndio kila muda atakuwa anakutafuta...

Mwanaume unapaswa umtafute mwanamke mwanzoni, jenga misingi imara.

Ukimaliza inakuja zamu yake yeye kukutafuta kila mara..honey, baby, mume wangu.

Kama haya hayapo, kimbilia pori jingine
Kumbe ndio iko hivi?
 
Huenda shida yako ni hiyo Ingilixhi..

Mdada wa watu wala haelewi ujumbe wako, ili asiaibike anaamua kukaa kimya. Akipokea ukiongea Kiingereza chako anakuuliza umexema? Ukirudia, anakukacha. 'xubiri nina kazi kidogo. 2tawaxiliana xaxa bdae'.

Anyway, endelea kusubiri ujumbe wake Mkuu.
 
Back
Top Bottom