I'm sorry Baby

Kashindwa kumwambia I'm sorry husna
hahhaha huyo kamuacha mtto wa watu mbele ya watu sio vizuri ujue sumbai ila husna tulimwambi lkn

au sumbai mambo ya mita 200 nitumie picha mtu kabadili gear angani

unajua huu msemo wako utakua umehusika mm nauheshim sana
 
[emoji92] [emoji94] [emoji93] [emoji92] [emoji95] [emoji94] [emoji93] [emoji92]
 
Kashindwa kumwambia I'm sorry husna
Bro nimeachika mimi
hahhaha huyo kamuacha mtto wa watu mbele ya watu sio vizuri ujue sumbai ila husna tulimwambi lkn

au sumbai mambo ya mita 200 nitumie picha mtu kabadili gear angani

unajua huu msemo wako utakua umehusika mm nauheshim sana
Mlimwambia nini... mimi ndiye nimeachika
 
hahhaha huyo kamuacha mtto wa watu mbele ya watu sio vizuri ujue sumbai ila husna tulimwambi lkn

au sumbai mambo ya mita 200 nitumie picha mtu kabadili gear angani

unajua huu msemo wako utakua umehusika mm nauheshim sana
Dah Sasa hakujua formula ya first date????

Daby unatakiwa unakaa mita 200 kisha unajiridhisha...... Ukiona Tbs imekataaa unazima simu.
 
Aseee wanaume wachache saana wanaoweza kulitamka hilo neno ,, akikuuzi utasikia yaishe bhana tubadili madaa ,,,, I'm sorry baby tena kiromantiki mmmh km nilishawahi kumpata wa hivi ngoja nikafikilie naludii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…