I’m so sorry rafiki yangu Achevi from Zimbabwe.

maliyamungu

JF-Expert Member
Aug 14, 2011
564
412
Tarehe 8/8/2003 julius Nyerere international Airport terminal 2 saa 8 mchana nampokea rafiki yangu kipenzi James Achevi Chikala cha kwanza nikamuuliza vipi Zimbabwe? Akanijibu hali ni mbaya mafuta bei juu mfumuko wa bei ndio usisema! Nikamwambia Hakuna watu wajinga kama wazimbabwe.. Akanambia kwa nini!? Nikamwambia mnamuachaje Mugabe afanye nchi kama yake anavyotaka na kuaribu uchumi wenu. Akainama chini na kuonesha masikitiko.. Akanijibu maskini hana mbwembwe.

Nikamwambia angekuwa Tanzania angekoma.

Leo nimeamini maskini hana mbwembwe.

I’m so sorry Mr Chikala.
 
Tatizo si wazim the problem is the european sanctions upon them
.
 
Afrika itahitaji mapinduzi (si ya kijeshi) ili tuheshimiane....naona kuna mtu mmoja nae amejimilikisha utaifa wetu.... so so so sad.
 
Watanzania tuna maneno mengi sana lakini utekelezaji ni zero kabisa
 
Naona Mugabe mwingine kaibukia upande wa pili ni suala la mda tu.
Mlisema hayo miaka minne iliyopita. Sasa hivi ni middle economy (per IMF).
Watanzania wanajilisha kwa kutumia peasants. Wazimbabwe bila farmers wa kizungu, hawawezi kujilisha. Yaani they simply cant feed themselves, why?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom