I'm Samir

I'm Samir

Hassmak

Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
80
Reaction score
2
Nahitaji best wa kutoka nae
Mm nipo migombani zanzibar kama yupo ani PM fasta
 
Nahitaji best wa kutoka nae
Mm nipo migombani zanzibar kama yupo ani PM fasta

Tunatoka kwenda wapi sasa........?......maana mimi nilikuwa nataka kwenda Hideaway Hotel kwa lunch leo........nije..?.....
 
Isitoshe mm csomi teeena kwamba mm c mwanafunz kwa sasa
 
Tunatoka kwenda wapi sasa........?......maana mimi nilikuwa nataka kwenda Hideaway Hotel kwa lunch leo........nije..?.....

Endelea tu na ratiba zako mama!
Huyu atakuchosha katumwa nyanya gengeni! Kuna rafiki yake walikosana shule ndo anamuogopa akikutana naye! !!!!
 
Isitoshe mm csomi teeena kwamba mm c mwanafunz kwa sasa

Duh!! kweli wewe ni mzanzibar!....Zanzibar kumbe ambavyo huwa mnaongea pia huwa mnaandika hivyohivyo!.....‘mimi csomi teeena'!
 
Tunatoka kwenda wapi sasa........?......maana mimi nilikuwa nataka kwenda Hideaway Hotel kwa lunch leo........nije..?.....

ila Mama kuwa makini,nasikia Zanzibar wanapendelea kutumia mtandao wa tigo kuliko airtel!!....Uko tayari line yako ya tigo itumike????
 
Back
Top Bottom