I'm really caught-up here

I'm really caught-up here

Distance learning or no distance relationship....!

Hizi huwa zinawafaa watu wenye akili timamu (no offense meant).
Haihitaji uchunguzi na upelelezi sana mwishowe utachanganyikiwa.
 
You wouldn't trip if the one you love lied to you?



Lying is no "small stuff", man. I'd keep my grills tight on some issues, but not lying. I'm fussing coz if I don't, it will get excessive. All I need is to understand why she wasn't straight with me, then I'll see if it's reasonable enough.
She had already told you when she said that, she doesn't count one drink as a drinking. ni kipi hapo ambacho huelewi.
Kwa mtazamo wangu, naona hapo mnaweza hata kuachana ukiendelea kukomalia hiyo kitu.

Alafu, kwa nini umkutaze kunywa, unaohofia nini?
 
Unaweza kutoka bila kuaga..Ila nikikupigia simu kutaka kujua uko wapi then ukasema upo sehemu flani wakati haupo hapo.. Hiyo ni shida kubwa kwangu
Na kwa nini udanganye kama hakuna mapicha picha? Mimi nasema ukweli kabisa nilipo maana pia sipendi mchele mchele
 
kama hivyo sawa ila tambua kuwa wanawake wengi hawawezi kujibu straight kuwa nimefanya kitu flan mpaka uwakazie sanaaa so kuwa mvumilivu mwisho utajikuta unaachana na kila mwanamke kutafuta mkweli, kikubwa kuvumiliana,kusamehana
Umenena vema sana
 
I guess u & i got the same mindset. I always begin to lose trust in someone i luv when i find out they be lying even in some matters that might seem quite irrelevant. 'Cause i believe if she had the audacity to lie to me on 'small' issues as such what about the 'big' ones then!


We just different fam.
 
Kwa maelezo yako nimegundua kuwa wewe ndo una mawenge
 
You wouldn't trip if the one you love lied to you?



Lying is no "small stuff", man. I'd keep my grills tight on some issues, but not lying. I'm fussing coz if I don't, it will get excessive. All I need is to understand why she wasn't straight with me, then I'll see if it's reasonable enough.
Unfortunately lying is an acceptable culture in our society so dont be surprised with our replies.
 
Na kwa nini udanganye kama hakuna mapicha picha? Mimi nasema ukweli kabisa nilipo maana pia sipendi mchele mchele
Kama unaongea ukweli hakuna tatizo mama..Shida yangu ni uongo uongo usio na maana..Mi bora mtu aniambie ukweli hata kama utanikera kuliko kuniongopea
 
I guess u & i got the same mindset. I always begin to lose trust in someone i luv when i find out they be lying even in some matters that might seem quite irrelevant. 'Cause i believe if she had the audacity to lie to me on 'small' issues as such what about the 'big' ones then!


We just different fam.

I knew we're all cut from different type of clothes, but I just don't get how people would accept having no peace of mind just to keep a relationship going. Lack of trust can trigger a lot of things, some of which might not even exist.
 
I knew we're all cut from different type of clothes, but I just don't get how people would accept having no peace of mind just to keep a relationship going. Lack of trust can trigger a lot of things, some of which might not even exist.
Word!

There are things in life worth sacrificing but my peace of mind is off limits!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom