"I'm not your friend my friend"

"I'm not your friend my friend"

Hichi kingereza nimekutana nacho kwenye ofisi ya msomi mmoja, akimkaripia muajiriwa wake na vikingereza vya kuungaunga. I'm not your friend my friend,wasomi wa Tanzania buana!!
Itakuwa kituo cha Polisi. Na huwezi kuwacheka au kuwarekebisha maana wana silaha pembeni
 
Hichi kingereza nimekutana nacho kwenye ofisi ya msomi mmoja, akimkaripia muajiriwa wake na vikingereza vya kuungaunga. I'm not your friend my friend,wasomi wa Tanzania buana!!
OFISINI unahitaji english structure au grammar ya kazi gani huko ni kuchoshana tu. Hata hao waingereza wenyewe kuna wakati wanaonge informal na si formal.
 
Back
Top Bottom