.....YES!i am going through the hell,because she makes some silly mistakes and I FO0RGIVE,FORGET then we start over.but she keep making mistakes kila kukicha.
THE WORST PART OF MY MARRIAGE NI KWAMBA,nilipojaribu kumshirikisha kaka yake ili amshauri kuwa makini nimeibua tatizo jingine kubwa.she can't talk to me for three days now.na ananiita mnafiki,na mbeya.nikimwambia tukae tujadili mahusiano yetu hataki tena.ni visilani kila kukicha.
i am going through the hell!i can't keep quite just like that.i have done so much to fight for what belongs to me!
Kile kitufe cha ZII bado kuwekwa?
Kabisa! mpe time...fwata ushauri wangu wa mwanzo....tokeni out sehemu kuliko tulia zungumzeni tofauti zenu....ungempata kama Mrs Mtaba nafikiri tukutuku ungekuwa ushaiingiza mtoni...kwa stress
Mzee kwa hili nakupa THANKS! Ingawa za kwako hutoka kwa madem tu
mmhh jamani, talaka? kwa lipi mrembo wa watu alilolifanya mpaka astahili talaka? hivi watu mnasema tu, mbona mie sioni ishu kubwa kwa mrembo wa G hapa jamani, nadhani ni vitofauti vilivyopo maishani tu, G naomba ucpate wazo la kufikiria labda mrembo anakufanyia haya coz unasaidiwa cjui nini na nini, muweke karibu kipenzi chako, ongea nae kama ifuatavyo, mitoko kwa wingi, mrembo ni hacra tu kwasasa hana kingine mbona kakucal muda cmrefu kuhusu ishu ya pete? watu wanadhani ndoa ni kwaya leo umeingia kesho unatoka... NYIE MNAPENDANA NA MUENDELEEE KUPENDA TOFAUTI ZIPO NI ZAKUWEKWA SAWA TU....GOODLUCK BABY BOY.
...Kuwa mjeuri zaidi yake x2...usimsemeshe, wala kumgusa, rudi home usiku mkubwa!!! atarudi huyo na mtaongea tu masuala yenu!!! Dawa ya mto ni moto!!!.....YES!i am going through the hell,because she makes some silly mistakes and I FO0RGIVE,FORGET then we start over.but she keep making mistakes kila kukicha.
THE WORST PART OF MY MARRIAGE NI KWAMBA,nilipojaribu kumshirikisha kaka yake ili amshauri kuwa makini nimeibua tatizo jingine kubwa.she can't talk to me for three days now.na ananiita mnafiki,na mbeya.nikimwambia tukae tujadili mahusiano yetu hataki tena.ni visilani kila kukicha.
i am going through the hell!i can't keep quite just like that.i have done so much to fight for what belongs to me!
mmhh jamani, talaka? kwa lipi mrembo wa watu alilolifanya mpaka astahili talaka? hivi watu mnasema tu, mbona mie sioni ishu kubwa kwa mrembo wa G hapa jamani, nadhani ni vitofauti vilivyopo maishani tu, G naomba ucpate wazo la kufikiria labda mrembo anakufanyia haya coz unasaidiwa cjui nini na nini, muweke karibu kipenzi chako, ongea nae kama ifuatavyo, mitoko kwa wingi, mrembo ni hacra tu kwasasa hana kingine mbona kakucal muda cmrefu kuhusu ishu ya pete? watu wanadhani ndoa ni kwaya leo umeingia kesho unatoka... NYIE MNAPENDANA NA MUENDELEEE KUPENDA TOFAUTI ZIPO NI ZAKUWEKWA SAWA TU....GOODLUCK BABY BOY.
Mzee kwa hili nakupa THANKS! Ingawa za kwako hutoka kwa madem tu
no!...Kuwa mjeuri zaidi yake x2...usimsemeshe, wala kumgusa, rudi home usiku mkubwa!!! atarudi huyo na mtaongea tu masuala yenu!!! Dawa ya mto ni moto!!!
halla baibe!nimegonga kitufe cha thenksi,UMEONA?
Dont buy this Geof, hutajenga bali utabomoa....Kuwa mjeuri zaidi yake x2...usimsemeshe, wala kumgusa, rudi home usiku mkubwa!!! atarudi huyo na mtaongea tu masuala yenu!!! Dawa ya mto ni moto!!!
...Kuwa mjeuri zaidi yake x2...usimsemeshe, wala kumgusa, rudi home usiku mkubwa!!! atarudi huyo na mtaongea tu masuala yenu!!! Dawa ya mto ni moto!!!
Kufukuza huwa hakusaidii, you face your life challenges head on, ukikimbia tatizo you will be a coward, and all this time i believe you are a really man.Pole is she your wife? Kama siyo wife fukuza haraka. Kama ni wife anza kumpiga makofi apate akili. Inavyoonyesha anafanya makusudi uamue kuachana nae kitu ambacho yeye anakiona ni kheri
Ikiendelea na evidence zipo, basi mpe talaka yake aende kwao akatafute ataakokuwa anawafanyai huo ubwege wake, kama ni rafiki wa kike huyo mwache haina madhara kabisa.
...Punda haendi sharti kwa viboko mkuu!! Ukimchekea nyani utavuna mabua!!G...G baby boy i beg u.....dont try.
Got you and BIG THANKScarmel and nyamayao,
i will neva go through laligeni's advise!you ladies know what it means mwanaume akisema ameinvest FEELINGS FOR SEVEN YEARS,don't you?
...Punda haendi sharti kwa viboko mkuu!! Ukimchekea nyani utavuna mabua!![/QUOT
Na wewe unaongea hivi probably hujui maana ya ndoa, mke hafukuzwi au kupigwa kisa kanuna babu, kama mkeo wamuona kama punda thats your problem, i belive G married a beautiful woman who is inteligent and she knows what she is doing.