lunatoc
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,911
- 5,444
Acheni roho za kishetani nyie matanzania , wapi mmepigwa hela zenu.MURUSI Hebu fafanueni vizuri huo utapeli wa jamaa na amewahi kumtapeli nani usikute ni chuki binafsi mnaleta.
Wengine tupo serious tunataka tufanye biashara na jamaa.
Mbona kuanzia mwanzo hadi hapa tulipo katika thread hii Hakuna mtu kaleta real evidence kuhusu kutapeliwa zaidi ya kumchafua mtu
Sent using Jamii Forums mobile app