Hivi members nielewesheni,hii jf inaongozwa na chama chochote? Nisije nikatoa mada ngumu halafu chama husika kikanitafuta kini ditopile! Mana nina sanduku la hoja nzito,
Hivi members nielewesheni,hii jf inaongozwa na chama chochote? Nisije nikatoa mada ngumu halafu chama husika kikanitafuta kini ditopile! Mana nina sanduku la hoja nzito,
Nimesikia mengi kuhusu jf. Nadhani huu ni mda wangu muafaka kujikita ktk mijadala mizito na kutoa coments zangu. Nategemea kufurahia na kujifunza mengi pia. Ahsanteni na naomba mnpokee. NAWASILISHA HOJA!
<br />Nimesikia mengi kuhusu jf. Nadhani huu ni mda wangu muafaka kujikita ktk mijadala mizito na kutoa coments zangu. Nategemea kufurahia na kujifunza mengi pia. Ahsanteni na naomba mnpokee. NAWASILISHA HOJA!
<br />Nimesikia mengi kuhusu jf. Nadhani huu ni mda wangu muafaka kujikita ktk mijadala mizito na kutoa coments zangu. Nategemea kufurahia na kujifunza mengi pia. Ahsanteni na naomba mnpokee. NAWASILISHA HOJA!
<br />Jf siyo chama cha siasa wala haiongozwi na chama chechote cha siasa, bali wanajumuia wake ndiyo wanavyama vyao vya siasa wavijuwavyo wenyewe. mpaka hapo umeelewa mkuu??!!
<br /><br /><br />
<br /><br />
ulickia yepi kuhusu jf? Yaweke hapa tuyadadavue sio kuongea ambiguities!