next
JF-Expert Member
- Nov 2, 2007
- 604
- 184
Aisee watu katika ubora wenu. Nasoma kama naangalia 24 series ya kibongo, season ya 2I think the answer is walikuwa wanasubiri ile case ipoe. Why? Because wange strike wakati kesi bado ya moto, mashaka yangeendelea kuongezeka na pressure ya kesi ingezidi kukua.
So the only option left, ni ku strike katika muda ambao not even muhusika anatarajia, katika muda ambao hiyo kesi imepoa ...
Full mapicha picha!