Mkuu
daviey69, shukrani ni appreciation for the little you got. Wewe hats kama umeoa na una familia, ni jukumu lako to provide for your family, kumnunulia nguo mkeo, ni jukumu lako, na yeye ni haki yake kuvishwa na wewe!, lakini bado unapomletea, kama ana shukrani, atasema asante!.
TBC wametutangazia Kombe la Dunia, kuna watu wamefadhili michuano hiyo, kuna watu hawakulala na wamekuwa wakikesha usiku na mchana kuhakikisha tunaona, ile party ni appreciation za uongozi wa TBC kwa wote ukiwemo wewe uliongalia!.
Hata kama unaiendesha TBC kwa kodi yako, wanapofanya vizuri, unawajibu wa ku appreciate!. Mbona kwenye miziki, tunalipa kiingilio, na muziki ukikolea, tunapiga makofi, tunatunza, na bia tunawanunulia?!.
Ukosefu wa shukrani, appreciation ni tatizo kubwa humu JF!.
Tubadilike!.
Pasco