garimoshi limepata pancha mkuu!!Baada ya uchaguzi mkuu 2015, tulikuwa na "serikali ya Magufuli". Hii ndyo ilikuwa kauli ya wanasiasa wengi upande wa CCM hasa wale waliokuwa wakijipendekeza kupata vyeo. Na aliyekuwa akiongoza kutoa hii kauli alikuwa ni Mkuu wa mkoa wa Dr ( jina lake sahihi sina uhakika nalo).
Hata magufuli mwenyewe aliita " Serikali yangu".
Hivi sasa hii kauli imegeuka na kuwa serikali ya CCM na si Ya Magufuli au Yangu.
Hii ni baada ya upepo au nguvu za soda kukata au maandalizi ya Uchaguzi 2020.
Naimani baada ya uchaguzi itakuwa tena serikali ya Magufuli na si ya CCM tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haa! awamu ya watu wasiojulikana ''Hivi Dr shika yupo ama karudi majuu''Hivi sasa ni serikali ya wasiojulikana.Haijawahi kuwa serikali ya wananchi au watz, ndio maana vioja 'debe zima'
Sent using Jamii Forums mobile app
Ambatanisha ushahidi mkuuBaada ya uchaguzi mkuu 2015, tulikuwa na "serikali ya Magufuli". Hii ndyo ilikuwa kauli ya wanasiasa wengi upande wa CCM hasa wale waliokuwa wakijipendekeza kupata vyeo. Na aliyekuwa akiongoza kutoa hii kauli alikuwa ni Mkuu wa mkoa wa Dr ( jina lake sahihi sina uhakika nalo).
Hata magufuli mwenyewe aliita " Serikali yangu".
Hivi sasa hii kauli imegeuka na kuwa serikali ya CCM na si Ya Magufuli au Yangu.
Hii ni baada ya upepo au nguvu za soda kukata au maandalizi ya Uchaguzi 2020.
2020 itakuwa serikali ya Wanyonge, baada ya uchaguzi itakuwa tena serikali ya Magufuli na si ya CCM .
Sent using Jamii Forums mobile app
serikali ya vibaka haiwezi kufika mbali.Hivi sasa ni serikali ya wasiojulikana.Haijawahi kuwa serikali ya wananchi au watz, ndio maana vioja 'debe zima'
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini lazima tuanze kujipigania kwanza wenyewe kisha Mungu ataweka mkono wako,tukiendelea kuishi kikondoo na yeye anatuacha ivoivoAcha tuu mkuu, lkn naamini udhalimu utafika mwisho wake tu, Mungu hataacha kuwapigania viumbe wake dhidi ya uovu na udhalimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JK: Mambo yakiwa mazuri ni yeye, yakiharibika alishauriwa vibaya.
Jiwe:Mambo yakiwa hayajajulikana ni yeye, yakiharibika ni CCM, yakuharibika zaidi ni wapinzani na waliotumwa na mabeberu.
Mkuu nimebakiza ngapi maana naona zinayoyoma tu naendelea kudunda kitaa.
Dadadeki na Prof. ameua kabisa ufufuaji wa atcltop mi nasubiri sijui tutapanua nini baada ya upanuzi wa viwanja vya mpira kule nchumbiji
😂😂😂😂 Katutia ukichaa mzee yule, sasa hivi yupo liquidiiiiiiiiiiii anatuvuruga akili. Nchi hii kuna mengi ya kujifunza.Haa! awamu ya watu wasiojulikana ''Hivi Dr shika yupo ama karudi majuu''
Ukiandika kundule hakuna sababu ya kuongeza 'lake'Aste aste aste nyani haoni kundule lake
Duniani hakuna serikali ya mtu ni tanzania tuni serikali ya magufuli , serikali ya Tanzania na serikali ya ccm, vyovyote itakavyoitwa ni sawa
Duniani hakuna serikali ya mtu ni tanzania tuni serikali ya magufuli , serikali ya Tanzania na serikali ya ccm, vyovyote itakavyoitwa ni sawa
Hapana. kama mnakumbuka Mh Raisi alipokutana na viongozi wakuu wastaafu kero aliyotoa Mh Mkapa ilihusu kujitanabaisha "Serikali yangu, Serikali ya JPM badala ya Serikali ya CCM" ushauri wa Mkapa utakuwa umefanyiwa kazi