Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,084
- 983
nakurupuka kujibu haiwezi kabisa kwa sasa, inabidi tujipange kufanikisha hili ,tukijiamini tuMkuu Pascal heshima yako.
Naomba nikuulize swali lakitoto (hope umenikubalia)
Una amini TANZANIA Inaweza kushindana na USA?
Distributed Denial-of-Service
Huyo Kabudi atajengaje mahusiano mazuri na mataifa hisani wakati safari zake ni Dar na Dodoma? Huwezi kujifungia nyumbani alafu majanga yasikukute.Yaani kabudi mabada atumie muda wake kujena mahusiano mazuri kati ya TZ na mataifa wahisani yeye anatoa macho eti anasaidia zimbabwe iondolewe vikwazo vya kiuchumi! sasa yeye akiwekewa vikwazo sijui nani atakuja kumpigania.
Huu ni ubeberu tuu, wazalendo hatutakubali tutasimama na rais wetu Magufuli.
US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, kama ni kweli US/EU walimtoa Saadam Hussein kwa uongo wa kusaka WMD, kisha wakamtoa Ghadafi madarakani kufuatia kuwaunganisha Waafrika, na Mugabe wakamtoa kwa ku over stay?, kufuatia JPM anavyotetea rasilimali za nchi yetu tusiendelee kunyonywa, kufisadiwa...www.jamiiforums.com
Rais Magufuli, please don't bow down kwa hawa mabeberu wa US na EU, waeleze Tanzania ni nchi, a sovereign state
Wanabodi, Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo wetu kwa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao tusingependa kuona uhuru wa taifa letu unaingiliwa na taifa jingine lolote au mtu mwingine yoyote. Huu ni wakati wa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili kusimama as one...www.jamiiforums.com
PHata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tanzania tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu
Wanabodi Leo naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Sisi watu sekta binafsi, tunaotegemea tenders, kuna siku unaamka asubuhi, huna tenda, huna kazi, huna hili wala lile, uko kitandani, ndipo unaamua kuamka na Jf, wakati ukisubiri saa 12:00 asubuhi uanze kusikiliza morning...www.jamiiforums.com
Mkuu kwenye suala la madini hamna kitu. Ulaji uko pale pale. Yaani kama walikuwa wanakula mchana sasa wanabugia usiku.Nchi yoyote duniani inapobadilisha mikataba ya madini( dhahabu, almasi, mafuta, gesi n.k) inakuwa adui mkubwa wa Marekani na Ulaya, hayo mengine ni kuhalalisha uharamia wao.
Tanzania inatumia mfumo uleule wa kidemokrasia wa uchaguzi tokà mwaka 1995 na hakuna hata siku moja waliona Kuna kasoro, kasoro wameiona awamu hii ya 5, kwa Nini? Kwa sababu Rais Magufuli kàbadilisha mikataba ya Madini
Sisi ni dona kantri. Tunadoneti kile tunachodonetiwa na mabeberu.Hawa ni mabeberu tuu na huu ni wivu juu ya maendeleo yetu na demokrasia yetu ya Tanzanian Democracy ambayo ni part of African Democracy.
Wazalendo wa kweli wa taifa hili, hatuta kubali ubeberu huu, tutasimama na rais wetu.
P
Mwenyewe?
pascal ni lini mara ya mwisho ulifika USA ?Huu ni ubeberu tuu, wazalendo hatutakubali tutasimama na rais wetu Magufuli.
US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, kama ni kweli US/EU walimtoa Saadam Hussein kwa uongo wa kusaka WMD, kisha wakamtoa Ghadafi madarakani kufuatia kuwaunganisha Waafrika, na Mugabe wakamtoa kwa ku over stay?, kufuatia JPM anavyotetea rasilimali za nchi yetu tusiendelee kunyonywa, kufisadiwa...www.jamiiforums.com
Rais Magufuli, please don't bow down kwa hawa mabeberu wa US na EU, waeleze Tanzania ni nchi, a sovereign state
Wanabodi, Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo wetu kwa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao tusingependa kuona uhuru wa taifa letu unaingiliwa na taifa jingine lolote au mtu mwingine yoyote. Huu ni wakati wa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili kusimama as one...www.jamiiforums.com
PHata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tanzania tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu
Wanabodi Leo naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Sisi watu sekta binafsi, tunaotegemea tenders, kuna siku unaamka asubuhi, huna tenda, huna kazi, huna hili wala lile, uko kitandani, ndipo unaamua kuamka na Jf, wakati ukisubiri saa 12:00 asubuhi uanze kusikiliza morning...www.jamiiforums.com
Kwa kweli ni dona wala sio sembe wala udagaSisi ni dona kantri..kwanza hao US wanatuonea wivu jinsi tunavyozidi kupaa kiuchumi..
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Biometrics hizihizi za usajili wa line za simu?United States.
A senior Trump administration official said that countries that failed to comply with security requirements, including biometrics, information-sharing and counter-terrorism measures, faced the risk of limitations on U.S. immigration.
Acheni uzushi, sababu hizi hapa hayo mengine mnajitungia tu
acheni mzee baba apige kazi, nani anataka kwenda Marekani? Tutabanana hapa hapa nchini kwetu.
Ngoja wazime ARV. Makusanyo ya kodi yataongezeka kutokana na biashara ya majeneza.Kwani Madawa ya ARV ni msaada kutoka nchi gani vile?
Au serikali inanunua yenyewe na kuwapatia watu bure?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii habari haiendani na uhalisia wa kilichosemwa,na Kwa kifupi ni kwamba haihusiani na Hali ya kisiasa nchiniNaomba tukumbushane hapa,
Balozi wa Marekani alishatoa maonyo mengi juu ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, ikiwemo hali ya demokrasia nchini, uhuru wa habari (Kabendela), mahakama kuingiliwa na kutotoa haki ikiwemo kubambikiziana kesi kwa vinogozi wa vyama pinzani, watu kupotea na kutekana, haki za watoto hasa wanaopata mimba mashuleni nk.
Ikaja baraza la Congress kumwandikia rais Magufuli mwezi Dec 2019 lakini sio Ikulu, wala wizara ya mambo ya nje iliyojibu kwa press kama walivyofanya hao wanaoitwa Mabeberu.
Jana Ikulu ya Marekani imeanza process ya kuwekea vikwazo watanzania na baadhi ya viongozi kuingia marekani ikiwa ni mwanzo wa kuwekewa vikwazo vya kiuchumi.
Huku kujimwambafy kunatuumiza hasa sie raia kwa viongozi wazembe ambao wanakula na kulala kwa kodi zetu.
Ifike kipindi tuwaambie zile ngojera za kiwa mabeberu wanatuonea wivu ni wivu gani wakati kila kitu kinatoka kwao kuanzia teknolojia hadi wafanyakazi wa hiyo miradi tunayojidai nayo?
Why?.pascal ni lini mara ya mwisho ulifika USA ?
ARV ndio hatua inayofuatiaNgoja wazime ARV. Makusanyo ya kodi yataongezeka kutokana na biashara ya majeneza.
Nakuelewa Mkuu ,lakini kwa taabu sana,na sijui kama wote wamekuelewa,subiri mvua ya mipasho na matamko kutoka kwa wenzangu.Hawa ni mabeberu tuu na huu ni wivu juu ya maendeleo yetu na demokrasia yetu ya Tanzanian Democracy ambayo ni part of African Democracy.
Wazalendo wa kweli wa taifa hili, hatuta kubali ubeberu huu, tutasimama na rais wetu.
P
Ukiangalia kwa makini Shetani anaweza kuwa na ahueni kuliko ccmyaani tangu CCM walivyobariki ule uhuni wa uchaguzi serikali ya mitaa - nimewaona hawafai kabisa, yaani sintawa-support kwa lolote lile - ule ni ushetwani...hata Muumba sidhani anaweza kuwasamehe - yaani unapora HAKI then unaibariki aisee!! hiki chama cha ajabu kabisa.
Marekani na nchi nyingine nyie kandamizeni tu wameyataka wenyewe.
SULA (pwani)Hivi hiyo profile Ni sula yako maaana ninavyokuangalia ata sikumalizi
Sent using Jamii Forums mobile app