Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,163
- 22,739
Tayari uongozi umepitisha. Ijumaa tunaenda maliza match ya Mikia. Wallah wabillah hawa mikia hawatachukua Kombe. Labda siyo mimi Komeo la Chuma.
Uongozi umetoa fungu la kutosha kufanikisha zoezi hili. Wachezaji wa Simba wazikwe. Yanatakiwa majina yao kamili na tarehe zao za kuzaliwa.
Hii itatusaidia tuishi kwa amani na furaha baada ya match ya RS Berkane. Na pia kuwafundisha hawa mikia sisi ni wananchi hatushindwi na kitu.
Mpaka sasa tunatafuta Simba wamerudi na kufikia wapi. Waanze sumbuliwa usiku wasilale. Tunatafuta huko Bunju hatuwaoni. Sijui wamejificha wapi hawa Mikia.
Uongozi umetoa fungu la kutosha kufanikisha zoezi hili. Wachezaji wa Simba wazikwe. Yanatakiwa majina yao kamili na tarehe zao za kuzaliwa.
Hii itatusaidia tuishi kwa amani na furaha baada ya match ya RS Berkane. Na pia kuwafundisha hawa mikia sisi ni wananchi hatushindwi na kitu.
Mpaka sasa tunatafuta Simba wamerudi na kufikia wapi. Waanze sumbuliwa usiku wasilale. Tunatafuta huko Bunju hatuwaoni. Sijui wamejificha wapi hawa Mikia.