dk nipeni msaada wenu, nikil chakula usiku nishibe ata nisiposhiba shida kubwa ikifika mida ya saa kumi alfajiri tumbo linajaa gesi nyingi sn, ivyo inanisababishia kujampa sn tena kwa sauti kubwa km tembo!, lipi tatizo? Naombeni majibu ya kitalam, umri wangu 27 uzito 85 kg.