mtingi1
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 945
- 923
Wasalaam!
Kama mada inajieleza , ili nchi yetu ifike mbali zaidi KIUCHUMI na technology, hatuna budi kuwaiga wachina;
1. Namna wanavyopiga kazi kwa bidii. Tusiige imani zao tu.
2. Namna wameweka kando ustaarabuwa magharibi yaani mfumo wa democracy binafsi naona unazingua waafrika tu, sisi tulizoea mfumo wa kifalme au ki chifu, bora mfumo wetu wa ki chifu kuliko u democracy. Tusiige utaratibu wao wa kuzaliana, sisi tuendelee kuzaliana sana.
4. Tuwakuze wanasayansi wetu, kwa kuwekeza fedha zaidi katika tafiti za kisayansi ili ikiwezekana baada ya muda flani na sisituwauzie wazungu madawa, na bidhaa zingine.
5. Tufanye tafiti juu ya bidhaa za kisayansi mfano silaha na vinginevyo ili na sisi tujitenezee vyetu.
Naomba ongeza na wewe pia za kwako....
Tuendelee kujikinga na korona.
Mungu ibariki Tanzania
3.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mada inajieleza , ili nchi yetu ifike mbali zaidi KIUCHUMI na technology, hatuna budi kuwaiga wachina;
1. Namna wanavyopiga kazi kwa bidii. Tusiige imani zao tu.
2. Namna wameweka kando ustaarabuwa magharibi yaani mfumo wa democracy binafsi naona unazingua waafrika tu, sisi tulizoea mfumo wa kifalme au ki chifu, bora mfumo wetu wa ki chifu kuliko u democracy. Tusiige utaratibu wao wa kuzaliana, sisi tuendelee kuzaliana sana.
4. Tuwakuze wanasayansi wetu, kwa kuwekeza fedha zaidi katika tafiti za kisayansi ili ikiwezekana baada ya muda flani na sisituwauzie wazungu madawa, na bidhaa zingine.
5. Tufanye tafiti juu ya bidhaa za kisayansi mfano silaha na vinginevyo ili na sisi tujitenezee vyetu.
Naomba ongeza na wewe pia za kwako....
Tuendelee kujikinga na korona.
Mungu ibariki Tanzania
3.
Sent using Jamii Forums mobile app