Ili taifa liendelee, linahitaji kiongozi mwenye msimamo, Rais Magufuli katupa somo

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
Wadau, amani iwe kwenu.

Nchi za Libya na Misri ziliingia kwenye machafuko kutokana na tamaa za watu wachache na kwa sababu za kijinga jinga. Tanzania tumeanza kunyemelewa na hali hiyo pale tuliporuhusu watu wachache tena wengi wao hawapo nchini wakatawala bongo zetu.

Wakati wa sakata la ESCROW, baadhi ya mawaziri akiwemo Profesa Muhongo walijiuzulu kwa sababu tu ya msukumo kutoka kwa wabunge waliokuwa na maslahi binafsi na hoja hiyo. Nakumbuka mjadala mzito uliotawala kushinikiza Prof Muhongo ajiuzulu. Na alifanya hivyo baada ya kelele kuzidi. Hata hivyo, Rais Magufuli alipoingia madarakani akalazimika kumtejesha tena Muhongo kwenye wizara ile ile. Watu wakavimba mpaka wakapasuka. Sasa mambo ya epoa na umeme unasambaa vijijini.

Lilipokuja sakata la Operesheni TOKOMEZA baadhi ya Mawaziri walitolewa mbuzi kafara. Ni kutokana na kelele za akina Kangi Lugola ambao walienda na rundo la vielelezo bandia ili kuwaangamiza wenzao.

Limekuja suala la madawa ya kulevya. Makonda kaasisi mapambano hayo na sasa Tume ya Kamishna Sianga inafanya kazi kwa wepesi zaidi. Hata hivyo, kama ilivyotokea kwa matukio ya nyuma, lazima isombe watu. Hata hivyo, kwa mara nyingine napongeza msimamo wa Serikali. Jamii yetu imelelewa kimayai mayai sana. I ekuwa legelege aka mdebwedo. Lazima apatikane mtu wa kutunyoosha! Magufuli kiboko ya wazembe. Watatukana sana. Wataandika sana na watapiga kelele sana. Ila hapo wamefika mwisho.

Rais wetu ana kazi kubwa ya kujenga Ma flyovers, reli, mabomba ya mavuta, mabarabara na kuimarisha uchumi wa nchi. Hawezi kupoteza muda kujibizana na masuala ya kipuuzi. Hapa Kazi Tu.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nchi za Libya na Misri ziliingia kwenye machafuko kutokana na tamaa za watu wachache na kwa sababu za kijinga jinga. Tanzania tumeanza kunyemelewa na hali hiyo pale tuliporuhusu watu wachache tena wengi wao hawapo nchini wakatawala bongo zetu.

Wakati wa sakata la ESCROW, baadhi ya mawaziri akiwemo Profesa Muhongo walijiuzulu kwa sababu tu ya msukumo kutoka kwa wabunge waliokuwa na maslahi binafsi na hoja hiyo. Nakumbuka mjadala mzito uliotawala kushinikiza Prof Muhongo ajiuzulu. Na alifanya hivyo baada ya kelele kuzidi. Hata hivyo, Rais Magufuli alipoingia madarakani akalazimika kumtejesha tena Muhongo kwenye wizara ile ile. Watu wakavimba mpaka wakapasuka. Sasa mambo ya epoa na umeme unasambaa vijijini.

Lilipokuja sakata la Operesheni TOKOMEZA baadhi ya Mawaziri walitolewa mbuzi kafara. Ni kutokana na kelele za akina Kangi Lugola ambao walienda na rundo la vielelezo bandia ili kuwaangamiza wenzao.

Limekuja suala la madawa ya kulevya. Makonda kaasisi mapambano hayo na sasa Tume ya Kamishna Sianga inafanya kazi kwa wepesi zaidi. Hata hivyo, kama ilivyotokea kwa matukio ya nyuma, lazima isombe watu. Hata hivyo, kwa mara nyingine napongeza msimamo wa Serikali. Jamii yetu imelelewa kimayai mayai sana. I ekuwa legelege aka mdebwedo. Lazima apatikane mtu wa kutunyoosha! Magufuli kiboko ya wazembe. Watatukana sana. Wataandika sana na watapiga kelele sana. Ila hapo wamefika mwisho.

Rais wetu ana kazi kubwa ya kujenga Ma flyovers, reli, mabomba ya mavuta, mabarabara na kuimarisha uchumi wa nchi. Hawezi kupoteza muda kujibizana na masuala ya kipuuzi. Hapa Kazi Tu.

Mpaka sasa hivi anachofanya ni kufungua miradi iliyotafutwa na JK,hana alichokifanya toka aingie madarakani zaidi ya kumpigia kifua Jambazi Makonda.
 
duh! hivi haya manyoosho unayosema yameleta faida gani..?
hivi kutetea wanyonge ndo huko kwenda na mitutu kwenye ofisi za watu..?
kutetea wanyonge ndo kupanda kwa bei za vitu..? ajira je..?
 
C7QZB9IXUAETjV7.jpg
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nchi za Libya na Misri ziliingia kwenye machafuko kutokana na tamaa za watu wachache na kwa sababu za kijinga jinga. Tanzania tumeanza kunyemelewa na hali hiyo pale tuliporuhusu watu wachache tena wengi wao hawapo nchini wakatawala bongo zetu.

Wakati wa sakata la ESCROW, baadhi ya mawaziri akiwemo Profesa Muhongo walijiuzulu kwa sababu tu ya msukumo kutoka kwa wabunge waliokuwa na maslahi binafsi na hoja hiyo. Nakumbuka mjadala mzito uliotawala kushinikiza Prof Muhongo ajiuzulu. Na alifanya hivyo baada ya kelele kuzidi. Hata hivyo, Rais Magufuli alipoingia madarakani akalazimika kumtejesha tena Muhongo kwenye wizara ile ile. Watu wakavimba mpaka wakapasuka. Sasa mambo ya epoa na umeme unasambaa vijijini.

Lilipokuja sakata la Operesheni TOKOMEZA baadhi ya Mawaziri walitolewa mbuzi kafara. Ni kutokana na kelele za akina Kangi Lugola ambao walienda na rundo la vielelezo bandia ili kuwaangamiza wenzao.

Limekuja suala la madawa ya kulevya. Makonda kaasisi mapambano hayo na sasa Tume ya Kamishna Sianga inafanya kazi kwa wepesi zaidi. Hata hivyo, kama ilivyotokea kwa matukio ya nyuma, lazima isombe watu. Hata hivyo, kwa mara nyingine napongeza msimamo wa Serikali. Jamii yetu imelelewa kimayai mayai sana. I ekuwa legelege aka mdebwedo. Lazima apatikane mtu wa kutunyoosha! Magufuli kiboko ya wazembe. Watatukana sana. Wataandika sana na watapiga kelele sana. Ila hapo wamefika mwisho.

Rais wetu ana kazi kubwa ya kujenga Ma flyovers, reli, mabomba ya mavuta, mabarabara na kuimarisha uchumi wa nchi. Hawezi kupoteza muda kujibizana na masuala ya kipuuzi. Hapa Kazi Tu.
Hivi huyo bae wa kijuso bashite anafikia hata robo ya misimamo na ujeuri wa akina Hosni Mubarak na Gaddafi? Jitu oga linafokafoka tuuu....

Uchumi umemshinda watu wanaachishwa kazi kila siku.
 
Msichojua ni kwamba watanzania wengi tumetulia na magufuli. Mkitaka kuamini hili anzisheni maandamano ya kumpinga MUONE mtakavyopetazana.. Rais ni mmoja tu. Wauza madawa Hamna Muda serikali hii. Subirini uchaguzi ujao mtamkata tu huyu magufuli Ila Kwa Sasa anatosha Kwa taifa letu
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nchi za Libya na Misri ziliingia kwenye machafuko kutokana na tamaa za watu wachache na kwa sababu za kijinga jinga. Tanzania tumeanza kunyemelewa na hali hiyo pale tuliporuhusu watu wachache tena wengi wao hawapo nchini wakatawala bongo zetu.

Wakati wa sakata la ESCROW, baadhi ya mawaziri akiwemo Profesa Muhongo walijiuzulu kwa sababu tu ya msukumo kutoka kwa wabunge waliokuwa na maslahi binafsi na hoja hiyo. Nakumbuka mjadala mzito uliotawala kushinikiza Prof Muhongo ajiuzulu. Na alifanya hivyo baada ya kelele kuzidi. Hata hivyo, Rais Magufuli alipoingia madarakani akalazimika kumtejesha tena Muhongo kwenye wizara ile ile. Watu wakavimba mpaka wakapasuka. Sasa mambo ya epoa na umeme unasambaa vijijini.

Lilipokuja sakata la Operesheni TOKOMEZA baadhi ya Mawaziri walitolewa mbuzi kafara. Ni kutokana na kelele za akina Kangi Lugola ambao walienda na rundo la vielelezo bandia ili kuwaangamiza wenzao.

Limekuja suala la madawa ya kulevya. Makonda kaasisi mapambano hayo na sasa Tume ya Kamishna Sianga inafanya kazi kwa wepesi zaidi. Hata hivyo, kama ilivyotokea kwa matukio ya nyuma, lazima isombe watu. Hata hivyo, kwa mara nyingine napongeza msimamo wa Serikali. Jamii yetu imelelewa kimayai mayai sana. I ekuwa legelege aka mdebwedo. Lazima apatikane mtu wa kutunyoosha! Magufuli kiboko ya wazembe. Watatukana sana. Wataandika sana na watapiga kelele sana. Ila hapo wamefika mwisho.

Rais wetu ana kazi kubwa ya kujenga Ma flyovers, reli, mabomba ya mavuta, mabarabara na kuimarisha uchumi wa nchi. Hawezi kupoteza muda kujibizana na masuala ya kipuuzi. Hapa Kazi Tu.
Hizi akili zenu huwa sijui mnazipeleka wapi. Unapaswa kujua haya!
  1. Tunasapoti sana maendeleo ya Tanzania.
  2. Tunasapoti sana vita dhidi ya madawa ya kulevya
Lakini tunachotaka ni katiba na sheria za Nchi zifuatwe!

Msimamo wa kiongozi unatakiwa ujionyeshe pale anapofuata katiba ya nchi na sio vinginevyo.

Magufuli ameonyesha kuwa ni mtu anayeangalia matabaka kwenye kuongoza.

Ndio maana, Mama Anne Kilango aliondolewa within a minute, na hakuwa na mamisala makubwa makubwa kama ya Bw.Bashite.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nchi za Libya na Misri ziliingia kwenye machafuko kutokana na tamaa za watu wachache na kwa sababu za kijinga jinga. Tanzania tumeanza kunyemelewa na hali hiyo pale tuliporuhusu watu wachache tena wengi wao hawapo nchini wakatawala bongo zetu.

Wakati wa sakata la ESCROW, baadhi ya mawaziri akiwemo Profesa Muhongo walijiuzulu kwa sababu tu ya msukumo kutoka kwa wabunge waliokuwa na maslahi binafsi na hoja hiyo. Nakumbuka mjadala mzito uliotawala kushinikiza Prof Muhongo ajiuzulu. Na alifanya hivyo baada ya kelele kuzidi. Hata hivyo, Rais Magufuli alipoingia madarakani akalazimika kumtejesha tena Muhongo kwenye wizara ile ile. Watu wakavimba mpaka wakapasuka. Sasa mambo ya epoa na umeme unasambaa vijijini.

Lilipokuja sakata la Operesheni TOKOMEZA baadhi ya Mawaziri walitolewa mbuzi kafara. Ni kutokana na kelele za akina Kangi Lugola ambao walienda na rundo la vielelezo bandia ili kuwaangamiza wenzao.

Limekuja suala la madawa ya kulevya. Makonda kaasisi mapambano hayo na sasa Tume ya Kamishna Sianga inafanya kazi kwa wepesi zaidi. Hata hivyo, kama ilivyotokea kwa matukio ya nyuma, lazima isombe watu. Hata hivyo, kwa mara nyingine napongeza msimamo wa Serikali. Jamii yetu imelelewa kimayai mayai sana. I ekuwa legelege aka mdebwedo. Lazima apatikane mtu wa kutunyoosha! Magufuli kiboko ya wazembe. Watatukana sana. Wataandika sana na watapiga kelele sana. Ila hapo wamefika mwisho.

Rais wetu ana kazi kubwa ya kujenga Ma flyovers, reli, mabomba ya mavuta, mabarabara na kuimarisha uchumi wa nchi. Hawezi kupoteza muda kujibizana na masuala ya kipuuzi. Hapa Kazi Tu.
Mkuu hata Charles Tylor, Samuel Doe na Siad Barre walikuwa ni viongozi wenye msimamo. Hivyo hata Magufuli anafuata misimamo yake wala hatupi tabu. Muda utadhihirisha kama anayoyafanya yana manufaa kwetu ama hayana
 
duh! hivi haya manyoosho unayosema yameleta faida gani..?
hivi kutetea wanyonge ndo huko kwenda na mitutu kwenye ofisi za watu..?
kutetea wanyonge ndo kupanda kwa bei za vitu..? ajira je..?
kutetea wanyonge ndiyo kuchukua magari ya akina NAS HAULAGE, TANGA PETROLEUM na GSM? kutetea wanyonge ndiyo kupuuza sauti zao na kuwakebehi kwamba wanasikiliza majungu kwenye mitandao sasa mlikuwa mnataka wakesemee wapi?
 
Back
Top Bottom