Huku majengo ya makanisa yakikosa waumini misikiti inafurika
Huku majengo ya makanisa yakikosa waumini misikiti inafurika
Duh! Pakichafuka humu mie simoAlhamdulilah, shecant stand stand that naked in Saudi Arabia..US economy is mainly from selling and Consuming Pork products.VIVA USA
...Ha ha ha Halafu mbona kama anaonyesha dole la kati huyo binti....Nawewe ushajiona msomali kisa hiyo hijabu wehu sana nyinyi mnafurahia kupata vyeo kwenye ardhi ya makafiri?
Lebanon wana utaratibu Rais mkristo na PM muislam alwaysNa mimi nategemea mkristu mmoja awe mbunge saudia maana lebanon baada ya vita ya kidini kuisha bila mshindi sasa ni heshima maana leo akiwa mkristu kesho mwislamu. Sio kule Canada ambapo waislam walitaka mamlaka zikataze kuwalisha watoto wao ngurume ila nilimpenda yule Gavana alipowaambia waende kwenye nchi za waislam
Ila hao wamama kwa nini hawajavaa burka
Jihan Omar ni mwanamke wa kwanza wa Kisomali, Muislam anevaa hijab katika ndani ya Senate ya Marekani.
Hongera Jihan, hongera Afrika, hongera Somalia, hongera Waislam wote duniani.
Watetezi wa Uislam wanaongeseka kwenye watunga Sheria wa Marekani, ni hatua kubwa sana kwa Uislam.
Ma shaa Allah
Kumbe watu ndio wanaoutetea uisilamu allah hana ubavuThe whole world was like that 600 years after Jesus because all his disciples "forsook him and fled".
Now you have around 1.5 billion Muslims around the world following and supporting Jesus' teachings to the dot.
What are you waiting for?
halafu nikuulize jinsi uisilamu unavyo ongezeka kwa nini na uovu unaongezeka
nimeamini uisilamu ni uovu
Hata huku kwetu wanao ambarutiana wanaita mchezo wa kisilamu
Jihan Omar ni mwanamke wa kwanza wa Kisomali, Muislam anevaa hijab katika ndani ya Senate ya Marekani.
Hongera Jihan, hongera Afrika, hongera Somalia, hongera Waislam wote duniani.
Watetezi wa Uislam wanaongeseka kwenye watunga Sheria wa Marekani, ni hatua kubwa sana kwa Uislam.
Ma shaa Allah
Vazi lipi la kihuni kwenye hiyo clip?Mwanamke gani wa kiislaam anavaa mavazi ya kihuni. Huyo sio muislaam bali ana jina la kiislaam. Na hata kama ni muislaam kweli haendi kuongozwa na Quran ndani mle ila ni katiba ambayo wengi walioitunga ni walevi. Dada yangu kasome katika Qur'an sura ya 5 aya 47 mpaka 49 utanielewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Vazi lipi la kihuni kwenye hiyo clip?
Wewe ni mdini na mkabila nakufahamu siku nyingi ujuaji mwingiJihan Omar ni mwanamke wa kwanza wa Kisomali, Muislam anevaa hijab katika ndani ya Senate ya Marekani.
Hongera Jihan, hongera Afrika, hongera Somalia, hongera Waislam wote duniani.
Watetezi wa Uislam wanaongeseka kwenye watunga Sheria wa Marekani, ni hatua kubwa sana kwa Uislam.
Ma shaa Allah