Masha AllahJihan Omar ni mwanamke wa kwanza wa Kisomali, Muislam anevaa hijab katika ndani ya Senate ya Marekani.
Hongera Jihan, hongera Afrika, hongera Somalia, hongera Waislam wote duniani.
Watetezi wa Uislam wanaongeseka kwenye watunga Sheria wa Marekani, ni hatua kubwa sana kwa Uislam.
Ma shaa Allah
Tunawafaha toka siku nyingi ni watu wakulalamikaga tu hilo jimbo unalifahamu kuliko wengine? Asilimia kubwa ya watu wa hili jimbo ni negros sasa yule hakupigiwa kura kwa kuwa ni muislamu asilimia kubwa ya wakazi wahili jimbo niwakristo sifa ya yeye kushinda siyo uislamu wala ukimbizi wake wala jalabibu ni kwa kuwa watu weusi wanahitaji kutoka katika mishororo ya kibaguzi.hapa nyumbani nyie niwakulialia tu jpm alisema mali za waislamu wameuza wenyewe sasa jiulize waliuza wakapeleka wapi? jibu ni moja tu ni kwamba kuongeza /wake/ sasa maendeleo utayapataje kama siyo kukwama kila uchwao.Umemsikiliza huyo bint anasemaje?
Shule ulienda kusomea ujinga? Mbona umeandika kingeleza kibovu hivyo bibi yetu
Anachoniudhigi huyu Bibi ni mbaguzi wa Dini mno. Sasa karudi tena jukwaani baada ya kupotea kwa muda mrefu ili aposti udini wake sababu muislamu mwenzake wa sunna kashinda uchaguzi marekani.
Ndio maana siku hizi sitaki kabisa Dini yeyote ile yamejaa ubaguzi, unafiki na chuki kama hili libibi FaizaFoxy.... Maaaaaaavi!
Nimekuuliza umemsikiza Ilhan anasemaje? Unakuja na porojo zisizo na kichwa wala miguu.Tunawafaha toka siku nyingi ni watu wakulalamikaga tu hilo jimbo unalifahamu kuliko wengine? Asilimia kubwa ya watu wa hili jimbo ni negros sasa yule hakupigiwa kura kwa kuwa ni muislamu asilimia kubwa ya wakazi wahili jimbo niwakristo sifa ya yeye kushinda siyo uislamu wala ukimbizi wake wala jalabibu ni kwa kuwa watu weusi wanahitaji kutoka katika mishororo ya kibaguzi.hapa nyumbani nyie niwakulialia tu jpm alisema mali za waislamu wameuza wenyewe sasa jiulize waliuza wakapeleka wapi? jibu ni moja tu ni kwamba kuongeza /wake/ sasa maendeleo utayapataje kama siyo kukwama kila uchwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna porojo hapa vyovyote iwavyo hata obama aliwahi kutoa historia kama huyu nae kaigaNimekuuliza umemsikiza Ilhan anasemaje? Unakuja na porojo zisizo na kichwa wala miguu.
Umezisikia "firsts" anazozitaja? Ndiyo zimebeba title ya uzi huu.
Huwa sikisii.
Weka ushahidi. Kuwa Obama alisema yeye ni mvaa hijab wa kwanza kwenye senate.Hakuna porojo hapa vyovyote iwavyo hata obama aliwahi kutoa historia kama huyu nae kaiga
Sent using Jamii Forums mobile app
Safari yako wewe ni fupi isiyo na mafanikio kaa utulie, wala hujui niliko mafanikio niliyonayo siwezi kuyapata kwenye nchi yenye majuha kama ww.Weka ushahidi. Kuwa Obama alisema yeye ni mvaa hijab wa kwanza kwenye senate.
Kwa watu kama wewe Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Usilolijiwa ni usiku wa kiza.Safari yako wewe ni fupi isiyo na mafanikio kaa utulie, wala hujui niliko mafanikio niliyonayo siwezi kuyapata kwenye nchi yenye majuha kama ww.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo hongera africa, hongera somali hii ina maslahi yoyote kwa tanzania yako? malizia na hongera waislamu wote duniani shame on youUsilolijiwa ni usiku wa kiza.
Umeshindwa hoja unaanza kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.
Mimi siyo Mtanzania, kumbuka hilo. Mimi ni Mtanganyika.Hiyo hongera africa, hongera somali hii ina maslahi yoyote kwa tanzania yako? malizia na hongera waislamu wote duniani shame on you
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hapo ana hijab basii Hilo li shingo wazi ndo hijab?Nawewe ushajiona msomali kisa hiyo hijabu wehu sana nyinyi mnafurahia kupata vyeo kwenye ardhi ya makafiri?
Hata ungejiita Zaire kuna chochote au kuna manufaa yoyote uliyoyapata kwa mabadiliko ya majina ya nchi yako na nyingine? Achaguliwe mwingine wewe uipongeze african na waislamu hii inakaaje hapo? Pengine ungempongeza kwa kuwa nikijana kuchaguli ktk bunge la senate ili na vijana wengine popote duniani na wao waone kuwa nao wanaweza siyo blabla zakishamba tu rekebisha bandiko lakoMimi siyo Mtanzania, kumbuka hilo. Mimi ni Mtanganyika.
Yangu Tanganyika, Tanzania ilinikuta na sikushauriwa kuwa Mtanzania.
Hahahaaha ha !awamu hii umenyooka mpaka umepotea.
Umerudishwa na Msomali wa Democratic,
Aisee kweli awamu hii kiboko