akajasembamba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 1,012
- 1,476
Hakuna wilaya ambayo haiko chini ya CCM, Tanzania hakuna serikali za majimbo useme jimbo fulani liko chini ya chama fulani.
Chagua uishi Ileje au Bahi,Mahenge ama Mkalama,Buhigwe Au MombaWilaya ya Ileje ni miongoni mwa Wilaya zilizounda Mkoa wa Mbeya (naambiwa sasa imehamishiwa Mkoa wa Songwe ) ni miongoni mwa wilaya zinazounda Mkoa huo, historia inaonyesha kwamba kabla ya kuwa Wilaya. Ileje ilikuwa sehemu ya Wilaya ya Rungwe.
Mpaka sasa imetimia miaka 48 tangu Ileje iliporasimishwa na kuwa Wilaya. Bali umasikini unaoiandama Wilaya hii unatisha. Kibaya zaidi Hali ya Umasikini wa kutupwa wa Ileje inafichwa na viongozi wa serikali na ccm ili kuepusha Aibu, shule ni duni, huduma za afya ni duni, huduma za kijamii ni duni, hali ya uchumi wa mtu mmoja mmoja inasikitisha, kwa ufupi ni kwamba Ileje inanuka umasikini wa kutia aibu.
Lakini cha kushangaza ni kwamba , Wilaya, Halmashauri na Jimbo hilo vimeongozwa na ccm kuanzia enzi za Uhuru hadi leo, ukiacha madiwani wawili watatu kutoka NCCR, TLP na CHADEMA.
Iko haja sasa ya wananchi kushikamana kwa pamoja kuikomboa Ileje kwa Udi na Uvumba ili kunusuru maisha ya Watu .
View attachment 2709997View attachment 2709998View attachment 2709999
Ileje imeungwanishwa na lami kutoka Tunduma Hadi Malawi ,hizo picha za kutafutiza Kijijini zisikushushue.Kwa sasa ilije Iko mkoa wa songwe( mkoa Mpya) Tangu Mwaka 2016
Wewe unaishi Ileje ?Ileje imeungwanishwa na lami kutoka Tunduma Hadi Malawi ,hizo picha za kutafutiza Kijijini zisikushushue.
Taja Wilaya Yako harafu tutafute picha
Boda boda wanabeba gongo malawi na kuja kuiuza ilejeVijana wa hapo wanajishughulisha na shughuli gani za kujipatia kipato?
Dhahabu ya chunyaMkoa wa songwe zaidi ya kutegemea mapato toka Tunduma hauna chanzo kingine Cha mapato
Huu ni ukweliB
Boda boda wanabeba gongo malawi na kuja kuiuza ileje
Hahahahahahahahahahahahaha......B
Boda boda wanabeba gongo malawi na kuja kuiuza ileje
Nimekuelimisha tuAsante kwa kuja , lakini Mbona mimi nimeandika machache tu !
Wilaya hii ya Ileje haina watu wajanja na wengine wana roho mbaya.Wilaya ya Ileje ni miongoni mwa Wilaya zilizounda Mkoa wa Mbeya (naambiwa sasa imehamishiwa Mkoa wa Songwe ) ni miongoni mwa wilaya zinazounda Mkoa huo, historia inaonyesha kwamba kabla ya kuwa Wilaya. Ileje ilikuwa sehemu ya Wilaya ya Rungwe.
Mpaka sasa imetimia miaka 48 tangu Ileje iliporasimishwa na kuwa Wilaya. Bali umasikini unaoiandama Wilaya hii unatisha. Kibaya zaidi Hali ya Umasikini wa kutupwa wa Ileje inafichwa na viongozi wa serikali na ccm ili kuepusha Aibu, shule ni duni, huduma za afya ni duni, huduma za kijamii ni duni, hali ya uchumi wa mtu mmoja mmoja inasikitisha, kwa ufupi ni kwamba Ileje inanuka umasikini wa kutia aibu.
Lakini cha kushangaza ni kwamba , Wilaya, Halmashauri na Jimbo hilo vimeongozwa na ccm kuanzia enzi za Uhuru hadi leo, ukiacha madiwani wawili watatu kutoka NCCR, TLP na CHADEMA.
Iko haja sasa ya wananchi kushikamana kwa pamoja kuikomboa Ileje kwa Udi na Uvumba ili kunusuru maisha ya Watu .
View attachment 2709997View attachment 2709998View attachment 2709999
Kafutukaaa
Kama koboko
Ova
Imeshindwa kuibadilisha Chunya wilaya kongwe tangu ujeruman ndo iubadili mkoaDhahabu ya chunya
Aiseeeee !!!!Wilaya hii ya Ileje haina watu wajanja na wengine wana roho mbaya.
Hasa wanasasa.
Siye wa Rungwe tunajua kuwa watu wa Ileje ni ndugu zetu wa damu.
Tunasikilizana mila, lugha na hata tabia.
Wanasiasa wa Ileje waliwaghilibu akili wananchi na matokeo yake si mazuri.
Wanasiasa wzliwashawishi wananchi na Ileje ilijitoa yenyewe toka Wilaya ambayo ingeanzisha Mkoa wa Rungwe.
Ile ilikuwa roho mbaya isiyo kifani.
Wanapopata shida roho inatuuma lakini, kwa kweli walijitakia wenyewe.
Pita pale Riverside kuanzia saa Saba usiku kwenye corridor za flemu za biashara,hiki unachokisema utakishuhudia piaKwa kifupi sio wilaya ya ileje Tu yenye Hali Bali ni Tanzania nzima imechoka mno, nikipita mitaa ya kariakoo (city centre) watu wanalala nje ...... sometimes Bora uko ileje kuna afadhali kuliko DAR
Wapo Kyela siyo ilejeKuna watu wanaitwa wanyamanyafu huko. Ni wachawi balaa
Maji,umeme,shule na angalau kila Kijiji kina Zahanati...... hospital teule Isoko na ya wilaya ipo Itumba........ connection ya barabara bado ni changamoto kidogo hasa wakati wa mvua, kwasababu ni eneo ambalo linapata mvua nyingi sanaVipi kuhusu huduma za kijamii....hospital, zahanat, shule, maji, umeme, nk.
Maana ukisikia wilaya inajisalimisha kwa ingine shida kubwa ni upatikanaji wa huduma za kijamii hasa hospital .na pia kwenye muitikio wa ulahisi wa watu kisikilizwa na kutatuliwa kelo zao, kamavile mahakama, ustawi wa jamii nk. Usiangalie vyakula tu.
Kule hata Mwinyi amewahi kupita miaka yake akiwa kiongozi alishangaa kuona watu wote wananyumba za matofali.........na kama ulivyosema misosi ileje siyo story....Hawana hali ya kutisha. Nimewahi fika huko. Watu wanachakula cha kutosha sema ni ugali maharage na viazi. Hawana vitamini. Nyumba zao si mbaya.