Ile Project ya Coco beach/Oysterbay ilifikia wapi?

Ile Project ya Coco beach/Oysterbay ilifikia wapi?

Unatufaa sisi tunaokaa maeneo ya Obay na Masaki sasa wewe unakaa Tandika utakufaa vipi?? Tuliza msho...!!
Kukaa tandika Kwani kuna shida gani?
We kukaa obay/masaki Kwani huendi kukataa gogo!obay yenyewe idadi ya watu kwanza hamko wengi

Ova
 
Kuna watu humu wanafurahia kweli pale miradi ya mzee inapokwama, mtamuua mzee wa watu kwa frustartions
 
Flyover moroco si watabomoa majengo tena duh....
Mimi naona bora hela hyo ingetumika kutengeneza barabara zilizokuwa chini ya halmashauri ziwekwe lami....zote
Ni kweli ule mradi wa daraja baharini ulikuwa hauna tija yoyote

Ova
Yaan hapakuwa na mantiki kabisa ya kujenga libarabara baharini wakati barabara za nchi kavu zipo na zinaweza kijengwa flyover na foleni zikaisha, ule mradi ulikuwa ni ushenzi wa kukuza deni la taifa, ufutiliwe mbali na tusiiusikie tena, mradi wa kipumbavu kabisa usio na mantiki wa tija!
 
Unatufaa sisi tunaokaa maeneo ya Obay na Masaki sasa wewe unakaa Tandika utakufaa vipi?? Tuliza msho...!!
hata flyover ya mwenge na morocco itakufaa pia wewe Masaki, kwani the faster cars move Morocco na Mwenge the faster utafika Masaki, na ni at a fraction of the cost, linginisha na hilo lidaraja ambalo mwishowe magari yataendelea kuweka foleni mwenge, morocco, na hadi hilo daraja litajaa magari kwa foleni
 
Unatufaa sisi tunaokaa maeneo ya Obay na Masaki sasa wewe unakaa Tandika utakufaa vipi?? Tuliza msho...!!
hata flyover ya mwenge na morocco itakufaa pia wewe Masaki, kwani the faster cars move Morocco na Mwenge the faster utafika Masaki, na ni at a fraction of the cost, linginisha na hilo lidaraja ambalo mwishowe magari yataendelea kuweka foleni mwenge, morocco, na hadi hilo daraja litajaa magari kwa foleni
 
hata flyover ya mwenge na morocco itakufaa pia wewe Masaki, kwani the faster cars move Morocco na Mwenge the faster utafika Masaki, na ni at a fraction of the cost, linginisha na hilo lidaraja ambalo mwishowe magari yataendelea kuweka foleni mwenge, morocco, na hadi hilo daraja litajaa magari kwa foleni
Bora umemjibu Huyo anayejiita mtoto wa masaki

Ova
 
Kukaa tandika Kwani kuna shida gani?
We kukaa obay/masaki Kwani huendi kukataa gogo!obay yenyewe idadi ya watu kwanza hamko wengi

Ova
Sasa wewe hutaki tuwekewe daraja kwa nini?? Tunahitaji daraja ili kupunguza foleni pale kwenye Daraja la Salender pia ujue kuwa itasaidia pia wanaokaa maeneo ya Mwenge, Mbezi Beach, Bunju, Tegeta n.k sasa wewe acha wivu kwa watu wa maeneo hayo!!
 
Sasa wewe hutaki tuwekewe daraja kwa nini?? Tunahitaji daraja ili kupunguza foleni pale kwenye Daraja la Salender pia ujue kuwa itasaidia pia wanaokaa maeneo ya Mwenge, Mbezi Beach, Bunju, Tegeta n.k sasa wewe acha wivu kwa watu wa maeneo hayo!!
Nafikiri Francis da don keshakujibu mkuu

Ova
 
1. Natamani iwe kweli.
2. Ikiwa kama jengo la Tanesco linashushwa, daraja laweza kujengwa kwa amri.
 
Ule mradi hauna kichwa wala miguu, lile daraja wanalodai linapunguza umbali ni kwa asilimia ndogo sana, hakiendani na gharama kubwa za ujenzi; ni bora wajenge flyover kwenye majunction ya kwenda huko coco beach
wakitukanwa na Trump wanachukia....ule mradi ni kama pambo la mji ....tumefikia hapo tuanze kuweka mapambo ili hali bado ndg zetu hata maji safi ambayo tunapaswa kuyatandikia mipira iwafikie watanzania wenzetu tu bado
 
flyoverspic01.jpg
 
Unatufaa sisi tunaokaa maeneo ya Obay na Masaki sasa wewe unakaa Tandika utakufaa vipi?? Tuliza msho...!!

Neno zuri umempatia
Hata wengi wa maeneo mengine pia watafaidika sana
 
Back
Top Bottom