maharage ya nazi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 344
- 230
Habari zenu Wanajamvi.
Eti ile project ya Coco beach/Oysterbay/Kenyatta-Toure Drive imefikia wapi tulioaminishwa na michoro mwanzoni wa 2016? Ilkuwa ikidhaminiwa na Tanzania Investment Bank (TIB). au ilikuwa danganya toto tu?
Eti ile project ya Coco beach/Oysterbay/Kenyatta-Toure Drive imefikia wapi tulioaminishwa na michoro mwanzoni wa 2016? Ilkuwa ikidhaminiwa na Tanzania Investment Bank (TIB). au ilikuwa danganya toto tu?
