Ile Project ya Coco beach/Oysterbay ilifikia wapi?

Ile Project ya Coco beach/Oysterbay ilifikia wapi?

maharage ya nazi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2012
Posts
344
Reaction score
230
Habari zenu Wanajamvi.

Eti ile project ya Coco beach/Oysterbay/Kenyatta-Toure Drive imefikia wapi tulioaminishwa na michoro mwanzoni wa 2016? Ilkuwa ikidhaminiwa na Tanzania Investment Bank (TIB). au ilikuwa danganya toto tu?

 
Ingekuwa mradi wa ukweli sana. Ila siasa zetu za majitaka ni shida.
 
Habari zenu Wanajamvi.

Eti ile project ya Coco beach/Oysterbay/Kenyatta-Toure Drive imefikia wapi tulioaminishwa na michoro mwanzoni wa 2016? Ilkuwa ikidhaminiwa na Tanzania Investment Bank (TIB). au ilikuwa danganya toto tu?


Mkuu hufatilii mambo mbona mkulu alisema ndani ya utawala wake hapatajengwa, na manji akakubali matokeo
 
Habari zenu Wanajamvi.

Eti ile project ya Coco beach/Oysterbay/Kenyatta-Toure Drive imefikia wapi tulioaminishwa na michoro mwanzoni wa 2016? Ilkuwa ikidhaminiwa na Tanzania Investment Bank (TIB). au ilikuwa danganya toto tu?


Kweli mkuu nimeikuta hii project kwenye vitabu vya TIB nikajua wao ndiyo wangetoa fedha za mradi. Halafu ile michoro niliyoiona ilikuwa superb!!!! Nikashangaa kumbe haukuwa mradi wa Manji kama wengi tulivyoaminishwa ila Manji alishinda tu tender ya kutekeleza mradi. Sasa sijui kama utaendelea, labda awamu ingine siyo hii.
 
Kweli mkuu nimeikuta hii project kwenye vitabu vya TIB nikajua wao ndiyo wangetoa fedha za mradi. Halafu ile michoro niliyoiona ilikuwa superb!!!! Nikashangaa kumbe haukuwa mradi wa Manji kama wengi tulivyoaminishwa ila Manji alishinda tu tender ya kutekeleza mradi. Sasa sijui kama utaendelea, labda awamu ingine siyo hii.

KASHINDA NDIO.NDIO ALIKUA KTK MIKAKATI YA KUANZA HUO MRADI
BAADA YA MAHAKAMA KUAMURU KUWA MANJI KASHINDA
LKN KILICHOFUATA SASA....NA IMANI SAA HII HATAKI KUSIKIA WALA KUONA HATA TENDA YA KUSUKA MIKEKA TU
 
Habari zenu Wanajamvi.

Eti ile project ya Coco beach/Oysterbay/Kenyatta-Toure Drive imefikia wapi tulioaminishwa na michoro mwanzoni wa 2016? Ilkuwa ikidhaminiwa na Tanzania Investment Bank (TIB). au ilikuwa danganya toto tu?


Maeneo ya beach ya kuendeleza ni mengi sio lazima coco beach.kama wangeendeleza wangetumia pesa nyingi hivyo hakuna masikini angeweza kuingia hapo.kiingilio kingekuwa si chini ya 30000 ili kuweza kurudisha pesa yao.lengo LA magufuli coco beach ibaki public beach ambayo hata masikini ataenda bure.pia kurikuwa na ufisadi mkubwa sana kwenye mradi huko.
 
Si ile ya Manji mkuu? Wivu visa na visasi vya watu wachache wa kolomije ndo vimeharibu na kukatisha tamaa
 
Tz kweli hakuna maono ya kibiashara. Hizi fukwe zote za Dsm, Pwani, Znz/ Pe, Mtwara na Ta, zingekuwa ni vituo vya kitalii cha kimataifa. Wazungu wanasafiri kwenda kwenye visiwa na fukwe mbali mbali hasa sehemu za joto kama hapa kwetu, sisi ni kupiga marufuku kila kitu, au huyu anaruhusu na kufanya ugoigoi mpaka anatoka madarakani mradi haujakamilika, akija mwenzake, amri za marufuku na kupitia upya Miradi zinaanza. Miradi ya maendeleo iwe ni sera za miaka hata 50, sio makubaliano ya rais aliyepo madarakani akiondoka na kila kitu kinasahaulika, iwe ni mwendelezo.
 
Kweli mkuu nimeikuta hii project kwenye vitabu vya TIB nikajua wao ndiyo wangetoa fedha za mradi. Halafu ile michoro niliyoiona ilikuwa superb!!!! Nikashangaa kumbe haukuwa mradi wa Manji kama wengi tulivyoaminishwa ila Manji alishinda tu tender ya kutekeleza mradi. Sasa sijui kama utaendelea, labda awamu ingine siyo hii.
nadhani Baada Ya chama Fulani kushinda u meya wakaamua kupambanisha itikadi
 
Back
Top Bottom