UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,529
- 7,733
Hivi huko kwenye vyama, kama chadema, kuna nini cha zaidi wanaxhoweza kutuonyesha ili kitushangaze na kutufanya tuamini kuwa huko kuna vichwa zaidi ya hao waliopo serikalini?Tatizo kubwa ni uwezo mdogo walio nao watendaji waliopo Serikalini. Posta hasara, ATCL hasara, TANESCO hasara, tulikuwa na viwanda mbalimbali, vyote viliishia hasara tupu.
Au humo kwenye sekta binafsi, kuna nini cha zaidi kinachowatofautisha na watanzania wengine? Mi wala sioni tofauti; naona watanzania wote ni wale wale, majority ni wababaishaji, wezi, wazembe, waongo, nk!