Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,429
- Thread starter
- #21
Kwani wewe umeitafuta ukaikosa! Na kama wadau hawajawaho hata kuiona, sasa mbona tangu jana nawaona wanashangaa na kupingwa kweli mama anna alivyoipewa, sasa wanapinga document wasiyoijua! Hapo mimi si ndipo ninapoona maajabu. Lakini maajabu zaidi no pale ninapouliza wanachopinga hasa ni nini, wanasema niwaletee waione sasa dah! Aiseee!Sasa Mkuu......
Kama umeahindwa kuileta hiyo ilani hapa (copy), unadhani tutajenga hoja hewa...
Yaani umeahindwa kukopi na kupesti ili na wengine tuisome hiyo ilani unayo isifia, what do you expected to get from here...
This is ridiculous.....