Ilaaniwe Serikali ya CCM viongozi wake

Ilaaniwe Serikali ya CCM viongozi wake

una maumivuuu ......kilio cha samaki machozi yamekwenda na majiii........hahaaa . dua la kuku halimpati mweweee
 
Wakati wameshindwa kutuajiri, bado hata tulipojiajiri wanafuata na kutuwekea vikwazo vya kutosha, walaaniwe kwa matozo, makodi ya kila aina, walaaniwe

Wakati vijana tunaona fursa nje ya nchi wao wanatuwekea vikwazo kutoka passport masharti lukuki na garama juu pamoja na ucheleweshaji, mnataka tufie njaa humu ndani? Mlaaniwe.

Narudia tena Mlaaniwe CCM na serikali yenu mlaaniwe kwa kuufuga umaskini shida na taabu mulaaniwe kwa jasho letu mnalojilipa mlaaniwe na ardhi yetu mnayoikanyaga. Mlaaniwe na vizazi vyenu vyote,. Mlaaniwe milele
emoji24.png
emoji24.png
[emoji
AAAAAAAAAAAAAAAAAAAAMEN
 
Wakati wameshindwa kutuajiri, bado hata tulipojiajiri wanafuata na kutuwekea vikwazo vya kutosha, walaaniwe kwa matozo, makodi ya kila aina, walaaniwe

Wakati vijana tunaona fursa nje ya nchi wao wanatuwekea vikwazo kutoka passport masharti lukuki na garama juu pamoja na ucheleweshaji, mnataka tufie njaa humu ndani? Mlaaniwe.

Narudia tena Mlaaniwe CCM na serikali yenu mlaaniwe kwa kuufuga umaskini shida na taabu mulaaniwe kwa jasho letu mnalojilipa mlaaniwe na ardhi yetu mnayoikanyaga. Mlaaniwe na vizazi vyenu vyote,. Mlaaniwe milele
Na iwe hivyo milele na milele, Amina.
 
Fao la Kujitoa NSSF huo ni ukatili kiwango cha juu cha Ushetani....
 
acha makasiriko kijana,,,,,,,,penda nchi yako
Sijailaani Tanzania,,. . Nawalaani CCM narudia walaaniwe kwa kutojali , walaaniwe daima, walaaniwe ,milele wao mpaka vizazi vyao
.
Walaaniwe kwa damu za wagonjwa wote wanaokufa kwa kukosa hela za matibabu walaaniwe kwa damu za wote wanaojinyonga kutokana na ugumu wa maisha wanaoudumisha walaaniwe

Ilaniwe serikali ya CCM kwa jasho na machozi ya wafanyabiashara wadogo na wote wanaopata shida ambazo serikali imepuuza na ipo bize na mambo yasio okoa uchumi wa watu , walaaniwe.

Walaaniwe wabunge wanaokula mshahara wa bure wakicheka na kula starehe huku wananchi wao tunalia kwa njaa, wakijadili mambo ya hovyo wakiacha kujadili namna na njia za kutukomboa wananchi kiuchumi wakifurahia unyonge wetu na kuudumisha Daima natamka walaaniwe , ilaaniwe serikali hii ilaaniwe ilaaniwe Ccm na viongozi wake walaaniwe milele wao na matumbo yao
Wao na vizazi vyao, machozi ya wanyonge yajae kwenye vizazi vyao , walie kesho na
Milele

Walaaniwe
 
Wakati wameshindwa kutuajiri, bado hata tulipojiajiri wanafuata na kutuwekea vikwazo vya kutosha, walaaniwe kwa matozo, makodi ya kila aina, walaaniwe

Wakati vijana tunaona fursa nje ya nchi wao wanatuwekea vikwazo kutoka passport masharti lukuki na garama juu pamoja na ucheleweshaji, mnataka tufie njaa humu ndani? Mlaaniwe.

Narudia tena Mlaaniwe CCM na serikali yenu mlaaniwe kwa kuufuga umaskini shida na taabu mulaaniwe kwa jasho letu mnalojilipa mlaaniwe na ardhi yetu mnayoikanyaga. Mlaaniwe na vizazi vyenu vyote,. Mlaaniwe milele
Hii laana iwapate na iambatane na albadir ...hasa yule alosema hakuna crane ya kubeba yale mazagazaga
 
Wakati wameshindwa kutuajiri, bado hata tulipojiajiri wanafuata na kutuwekea vikwazo vya kutosha, walaaniwe kwa matozo, makodi ya kila aina, walaaniwe

Wakati vijana tunaona fursa nje ya nchi wao wanatuwekea vikwazo kutoka passport masharti lukuki na garama juu pamoja na ucheleweshaji, mnataka tufie njaa humu ndani? Mlaaniwe.

Narudia tena Mlaaniwe CCM na serikali yenu mlaaniwe kwa kuufuga umaskini shida na taabu mulaaniwe kwa jasho letu mnalojilipa mlaaniwe na ardhi yetu mnayoikanyaga. Mlaaniwe na vizazi vyenu vyote,. Mlaaniwe milele
Mkuu walaaniwe mafa ngapi?
 
Ukisikia dua za kuku ndio kama hizi ,mkiambiwa muingie barabarani kudai Tume huru na Katiba mpya mnaingia mitini,sasa wacheni tule nchi kwa raha zetu ,tumeshawashtukia mna makelele mengi tu ,ya wahabesh hamyawezi.
 
Wakati wameshindwa kutuajiri, bado hata tulipojiajiri wanafuata na kutuwekea vikwazo vya kutosha, walaaniwe kwa matozo, makodi ya kila aina, walaaniwe

Wakati vijana tunaona fursa nje ya nchi wao wanatuwekea vikwazo kutoka passport masharti lukuki na garama juu pamoja na ucheleweshaji, mnataka tufie njaa humu ndani? Mlaaniwe.

Narudia tena Mlaaniwe CCM na serikali yenu mlaaniwe kwa kuufuga umaskini shida na taabu mulaaniwe kwa jasho letu mnalojilipa mlaaniwe na ardhi yetu mnayoikanyaga. Mlaaniwe na vizazi vyenu vyote,. Mlaaniwe milele
Tupiganie katiba mpya na kuundoa utawala wa ccm.
 
Back
Top Bottom